Watanzania ni wavivu wa kufikiri sana, wakisikia wanafunzi wa vyuo vikuu dodoma wao wanajua UDOM, Dodoma kunavyuo vikuu vingi sana, ila sema wanafunzi wa vyuo vingine hawawezi kujitambulisha kwa majina ya vyuo vyao, huwezi kusikia anasema nasoma MIPANGO, HOMBOLO, ST. JONH, AU MILEMBE wate...