Nimefanikiwa kupata wawili leo,Rais Mtarajiwa alikuwa sanya,Ni rahisi sana tafakari hotuba ya MH Lowasa,hawajawhi kubadili maneneo hayo ameongea kutoka rohoni,ni kweli imani huzaa imani,na sisi tumemwamini kwamba elimu,Elimu,Elimu ni mkombozi kwa maskini,Hii nimeipenda sana maana elimu ndio...