Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

Yapo mambo mengi yamekuwa yakiendelea katika kipindi hiki, ambapo mengi katika mambo hayo ni ya hovyo, machafu na yasiyofaa katika jamii lakini yanahalalishwa kwa jina SIASA. Mambo yenye kushusha heshima ya mtu, kudhalilisha utu wake na kufedhehesha jamii yake siku hizi hayakemewi tena, sio na watu wenyewe ama taasisi bali hata Serikali yenyewe imekalia kimya mambo hayo na jamii wameyapa jina jipya, hauitwi tena UDHALILISHAJI bali inaitwa SIASA CHAFU.

Kwa muda mrefu, binafsi nimekuwa nikitukanwa sana hapa jamvini, tena na watu wenye heshima zao na wengine nawajua kwa sura na majina halisi lakini hata hawashtuki, nao huingia kwenye mkumbo huu wa matusi, kunidhalilisha na kunishushia heshima..wakati mwingine tunalazimika kuvumilia kwa sababu ndivyo ilivyo jamii yetu lakini hakika ni lazima tukemee tabia hizi zinazoimarika ndani ya jamii yetu...Watanzania walikuwa ni watu wenye kutolewa mfano kwa kuheshimiana, kupendana na kuishi kijamaa lakini hali ya sasa ni ya mazungumzo ya chuki, uhasama, kudhalilishana na kuvunjiana heshima.

Nimeiona VIDEO inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimdhalilisha Mama Regina, huyu ni Mwanamke mwenzangu lakini pia ni kama Mama yangu mzazi kwa umri wake na mtu mwenye heshima ya kipekee katika jamii yetu, si jambo jema hata kidogo, Mimi nalipinga jambo hili kwa namna yeyote ile itakavyotafsiriwa.

Hii sio siasa, na nawaonya Vijana wenzangu wa CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) ikiwa wao ndio wanaozisambaza video hizi, wajue wanafanya makosa kisheria na ni kukosa adabu na heshima kwa wazazi wetu. Nimewataja Vijana wenzangu wa CCM kwa sababu VIDEO hiyo nimeiona kwenye simu ya mmoja wao akidai ametumiwa na kijana anayeitwa Peter Kasera (ambaye nae ni kijana wa UVCCM) hizi sio tabia za wanachama ama Vijana wa CCM, MNATUDHALILISHA. Na nimeamua kukutaja kwa jina halisi ili uone haya kokote ulipo na ujutie kitendo chako, ikiwezekana uombe radhi kwa kitendo hicho.

Lakini pia hawa wapiga picha wanaokuwepo kwenye shughuli za CHADEMA na UKAWA hivi mnaishi nao vipi..? maana event ile ni ya "wanamabadiliko" imekuwaje VIDEO ile imevuja..? It's obviously kuwa mpigaji picha deliberately ameamua kuitoa kwa maslahi yake na ya wale anaowajua yeye.

Maoni yangu:
Watu hawa wote wachukuliwe hatua, kuanzia yule aliyefanya kitendo kile, aliyevujisha VIDEO pamoja na hawa wanaoendelea kusambaza..kwani ni hatua ya juu kabisa ya UDHALILISHAJI aliyofanyiwa Mama Regina.

NB:
Sitoiweka VIDEO hiyo hapa, na siitaji mtu yeyote katika uzi huu ama mwingine aweke VIDEO hiyo ama yenye mfano wa hiyo, Mods stay alerted...hata kama ni SIASA jamani kuna maisha baadae..TUACHE UDHALILISHAJI, imetosha sasa.

Mkuu umesema ukweli kabisa tabia hii ni bora watu wa pande zote mbili tungezingatia utu
kwanza.iwe ccm au upinzani, tungethaminiana. Tumezidi mipaka sana!

Lakini mkuu naona umesema vijana wa CCM ndo wanatukana, mimi katika hilo siwezi kusema ni kweli au hapana. Kwa mtazamo wangu naona wanao ongoza na kufundisha kutukana ni Mkurugenzi wa TCRA na wafanyakazi wake kwa kushindwa kukemea kashfa hizo au kuzichukulia hatua.

Sasa kama upinzani wanatukana na hata ccm wanatukana na kusambaza picha za kashfa mfano kama picha tajwa hapo juu, TCRA haitakiwi kulifumbia macho kamwe kwasababu ndo wame anzisha sheria za mtandaoni.


Katika maelekezo ya mwanzo ya TCRA, walisema mtu ukitoa taharifa ya kudharirisha, au uongo, au picha kutuma na kupokea picha za kudharirisha, muhusika atakuwa amevunja sheria na pia na faini za sheria hizo walizitaja.


Katika hali ya kusikitisha ten asana, huyu mkurugenzi wa TCRA na watu wake, wamekuwa wakifumbia macho Video za kashifa zinasambaa hovyo na ku-dharirisha au kushusha utu wa mtu. Lakini akisemwa kiongozi tu wa selikari, utasikia wanajitokeza kuwa mtu kakamatwa!!!


Nachukua hatua hii kukuaonya wewe mkurugenzi wa TCRA
, Tafadhari simamia sheria hii kwa ku-balance na kutenda haki. Siyo watu humu kipindi hiki wanadharirishwa sana, mtu anaibua kashfa za aibu anatuma na nyie mko kimia, mnasubiria asemwe Mkuu wa majeshi ndo tunakuja kuwaona kwenye TV. Picha tajwa ya huyu mwanamke kiukweli ni udharirishaji kabisa, TCRA haikutakiwa kuifumbia macho hata kwa kumuonya muhusika.



JESHI LA POLICE
Mchungaji Gwajima, akiwa kanisani kwakwe, alisema maneno juu ya Askofu wa kanisa katoliki, ambayo maneno hayo, mimi siwezi kusema alikosea au hakukosea , ila nyie Jeshi la police mlitafisili amekosea na mim si walahum kwa hilo na hivyo kumkamata na kumhoji. Wakati huo huo Askofu wa kanisa katoliki yeye alitoa msamaha akamuachia Mungu nyie police mkakomaa, Gwajima. Gwajima mkidai ametukana!!


Sasa niwahulize nyie police
, Je maneno aliyo yasema Bwn Mwigulu Nchemba kule tarime kuhusu Lowassa, maneno makali, matusi ya aibu tena ya nguoni, mbona mme kaa kimia?


Kiukweli na nyie mnachangia kupotosha na kuharibu mahadili ya nchi yetu kwa ku-tobalance kazi zenu. Naomba niwakumbushe. Tafadhari tendeni haki msije mkafikili siku ya kihama haipo. Hipo vizuri na Kila mtu atahukumiwa kwa kazi zake.



Mwisho: ombi langu sisi wenyewe wananchi,kama mtoa mada alivyo sema ni bora hata bila sheria tukaheshim utu wa mtu awe CCM au ukawa au asiye kuwa na chama. Mwenye hati miliki ya maisha ya mwanadam ni Mungu tu.
 
wewe endelea kumaanisha utakavyo wewe kauli za siasa, kama una mzazi wa kike hauwezi kushabikia udhalilishaji huu.... tena inaonekana kabisa ni sexual harassment..... sasa kama una mama ungeelewa....



Ninaye mama, dada, shangazi, mama wadogo/wakubwa lkn siyo Mafisadi na hiyo ndiyo tofauti! Dhidi ya fisadi Lowasa na Genge lake hakuna ustaarabu wala heshima kila kitu kinaruhusiwa hata Mungu ameruhusu hilio!
 
Yapo mambo mengi yamekuwa yakiendelea katika kipindi hiki, ambapo mengi katika mambo hayo ni ya hovyo, machafu na yasiyofaa katika jamii lakini yanahalalishwa kwa jina SIASA. Mambo yenye kushusha heshima ya mtu, kudhalilisha utu wake na kufedhehesha jamii yake siku hizi hayakemewi tena, sio na watu wenyewe ama taasisi bali hata Serikali yenyewe imekalia kimya mambo hayo na jamii wameyapa jina jipya, hauitwi tena UDHALILISHAJI bali inaitwa SIASA CHAFU.

Kwa muda mrefu, binafsi nimekuwa nikitukanwa sana hapa jamvini, tena na watu wenye heshima zao na wengine nawajua kwa sura na majina halisi lakini hata hawashtuki, nao huingia kwenye mkumbo huu wa matusi, kunidhalilisha na kunishushia heshima..wakati mwingine tunalazimika kuvumilia kwa sababu ndivyo ilivyo jamii yetu lakini hakika ni lazima tukemee tabia hizi zinazoimarika ndani ya jamii yetu...Watanzania walikuwa ni watu wenye kutolewa mfano kwa kuheshimiana, kupendana na kuishi kijamaa lakini hali ya sasa ni ya mazungumzo ya chuki, uhasama, kudhalilishana na kuvunjiana heshima.

Nimeiona VIDEO inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimdhalilisha Mama Regina, huyu ni Mwanamke mwenzangu lakini pia ni kama Mama yangu mzazi kwa umri wake na mtu mwenye heshima ya kipekee katika jamii yetu, si jambo jema hata kidogo, Mimi nalipinga jambo hili kwa namna yeyote ile itakavyotafsiriwa.

Hii sio siasa, na nawaonya Vijana wenzangu wa CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) ikiwa wao ndio wanaozisambaza video hizi, wajue wanafanya makosa kisheria na ni kukosa adabu na heshima kwa wazazi wetu. Nimewataja Vijana wenzangu wa CCM kwa sababu VIDEO hiyo nimeiona kwenye simu ya mmoja wao akidai ametumiwa na kijana anayeitwa Peter Kasera (ambaye nae ni kijana wa UVCCM) hizi sio tabia za wanachama ama Vijana wa CCM, MNATUDHALILISHA. Na nimeamua kukutaja kwa jina halisi ili uone haya kokote ulipo na ujutie kitendo chako, ikiwezekana uombe radhi kwa kitendo hicho.

Lakini pia hawa wapiga picha wanaokuwepo kwenye shughuli za CHADEMA na UKAWA hivi mnaishi nao vipi..? maana event ile ni ya "wanamabadiliko" imekuwaje VIDEO ile imevuja..? It's obviously kuwa mpigaji picha deliberately ameamua kuitoa kwa maslahi yake na ya wale anaowajua yeye.

Maoni yangu:
Watu hawa wote wachukuliwe hatua, kuanzia yule aliyefanya kitendo kile, aliyevujisha VIDEO pamoja na hawa wanaoendelea kusambaza..kwani ni hatua ya juu kabisa ya UDHALILISHAJI aliyofanyiwa Mama Regina.

NB:
Sitoiweka VIDEO hiyo hapa, na siitaji mtu yeyote katika uzi huu ama mwingine aweke VIDEO hiyo ama yenye mfano wa hiyo, Mods stay alerted...hata kama ni SIASA jamani kuna maisha baadae..TUACHE UDHALILISHAJI, imetosha sasa.

Nakupongeza sana kwa Mara ya kwanza kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa.Ukiendelea na msimamo huu nakutabiria makubwa,ila angalizo hayo maneno yawe yanatoka ndani ya moyo na si kujionyesha kwa watu kuwa unachukia kitendo hicho bila kujali wamefanya wa chama gani.Naomba ukemee na yale yaliyofanyika Mwanza kumdhalilisha Lowasa na yule kijana wa shairi na Magufuli na makada wa CCM kupiga makofi.Mimi binafsi sipendi kuwadhalilisha watu wazima kwa kisingizio cha itikadi ya vyama.
 
Kwasababu mwanamke mwenzako amefanyiwa hivyo ndo umekuja kukemea hapa?
Wakati Lowasa anadhalilishwa ulikuwa wapi?
CCM mmeanzisha hizi siasa. Anza kuwakemea Nape na wenzake.

Mkuu mbona hata huyu mleta uzi anaonekana kama vile ana, ajenda kudhalilisha ingawa kafichama kwenye huo huo udhalilishaji, hebu soma vizuri utaweza kagundua.
 
Hayo maneno mpelekee yule msoma utenzi wenu ambaye akitukana Magufuli anabaki anachekelea!
 
Uchuguzi una mengi Kama una Roho nyepesi wallah unajitundika mume anadhalilishwa Kwa kujitakia maana Ni ukweli ila Kwa upande hasa wa huyu Mwana mama mie Leo imeniuma kabisa na Hawa vijana wa Chadema Hawa Kama hamumpendi Lowassa msimdhalilishe Mkewe!

Siyo lazima awe ni CDM inawezekana hata ni CCM ,huyo mtu alikuwa ameshaandaliwa na Wa kachukua video pia.
 
Leo umeongea point sina cha kuongeza

Usimpongeze hana nia nzuri maana wanaoisambaza ni CCM huku wakidai CHADEMA wasiomtaka Lowasa ndio wanaofanya hivyo. Hiyo ni mipango michafu ya CCM kuendelea kudhalilisha watu.
 
Yapo mambo mengi yamekuwa yakiendelea katika kipindi hiki, ambapo mengi katika mambo hayo ni ya hovyo, machafu na yasiyofaa katika jamii lakini yanahalalishwa kwa jina SIASA. Mambo yenye kushusha heshima ya mtu, kudhalilisha utu wake na kufedhehesha jamii yake siku hizi hayakemewi tena, sio na watu wenyewe ama taasisi bali hata Serikali yenyewe imekalia kimya mambo hayo na jamii wameyapa jina jipya, hauitwi tena UDHALILISHAJI bali inaitwa SIASA CHAFU.

Kwa muda mrefu, binafsi nimekuwa nikitukanwa sana hapa jamvini, tena na watu wenye heshima zao na wengine nawajua kwa sura na majina halisi lakini hata hawashtuki, nao huingia kwenye mkumbo huu wa matusi, kunidhalilisha na kunishushia heshima..wakati mwingine tunalazimika kuvumilia kwa sababu ndivyo ilivyo jamii yetu lakini hakika ni lazima tukemee tabia hizi zinazoimarika ndani ya jamii yetu...Watanzania walikuwa ni watu wenye kutolewa mfano kwa kuheshimiana, kupendana na kuishi kijamaa lakini hali ya sasa ni ya mazungumzo ya chuki, uhasama, kudhalilishana na kuvunjiana heshima.

Nimeiona VIDEO inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii, ikimdhalilisha Mama Regina, huyu ni Mwanamke mwenzangu lakini pia ni kama Mama yangu mzazi kwa umri wake na mtu mwenye heshima ya kipekee katika jamii yetu, si jambo jema hata kidogo, Mimi nalipinga jambo hili kwa namna yeyote ile itakavyotafsiriwa.

Hii sio siasa, na nawaonya Vijana wenzangu wa CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) ikiwa wao ndio wanaozisambaza video hizi, wajue wanafanya makosa kisheria na ni kukosa adabu na heshima kwa wazazi wetu. Nimewataja Vijana wenzangu wa CCM kwa sababu VIDEO hiyo nimeiona kwenye simu ya mmoja wao akidai ametumiwa na kijana anayeitwa Peter Kasera (ambaye nae ni kijana wa UVCCM) hizi sio tabia za wanachama ama Vijana wa CCM, MNATUDHALILISHA. Na nimeamua kukutaja kwa jina halisi ili uone haya kokote ulipo na ujutie kitendo chako, ikiwezekana uombe radhi kwa kitendo hicho.

Lakini pia hawa wapiga picha wanaokuwepo kwenye shughuli za CHADEMA na UKAWA hivi mnaishi nao vipi..? maana event ile ni ya "wanamabadiliko" imekuwaje VIDEO ile imevuja..? It's obviously kuwa mpigaji picha deliberately ameamua kuitoa kwa maslahi yake na ya wale anaowajua yeye.

Maoni yangu:
Watu hawa wote wachukuliwe hatua, kuanzia yule aliyefanya kitendo kile, aliyevujisha VIDEO pamoja na hawa wanaoendelea kusambaza..kwani ni hatua ya juu kabisa ya UDHALILISHAJI aliyofanyiwa Mama Regina.

NB:
Sitoiweka VIDEO hiyo hapa, na siitaji mtu yeyote katika uzi huu ama mwingine aweke VIDEO hiyo ama yenye mfano wa hiyo, Mods stay alerted...hata kama ni SIASA jamani kuna maisha baadae..TUACHE UDHALILISHAJI, imetosha sasa.

Vp na wale watu wanaosambaza picha za nyoso kumuingiza kidelo mchezaji mwenzake wafanywe nin na lile gazeti lililochapisha hadi picha ya lile dolee tuwafanye nin...ukiweza kujibu hapo nahisi tutakuwa tumetenda haki kwa hawa wote wahangaa
 
Akaunti ya Juliana shoza iko hacked? Maana najua yeye huwa anaandika matusi tuuu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona hata huyu mleta uzi anaonekana kama vile ana, ajenda kudhalilisha ingawa kafichama kwenye huo huo udhalilishaji, hebu soma vizuri utaweza kagundua.

Kweli mkuu Ninaweza. Mleta uzi ana jambo kaliweka nyuma ya pazia katika uzi huu! Vikichanganya tu, ataonesha rangi zake! Tusubiri tuone.
 
Last edited by a moderator:
kama hujui basi tambua hilo, siasa chafu za mitandaoni na majukwaani zinafanywa na makada wa ccm kwa uratibu wa ccm makao makuu, hakuna kiongozi yoyote wa juu wa ccm aliyekemea, na zaidi wanafurahi na kushangilia kabisa.
Sahara media kupitia startv, rfa, kiss fm, pia radio uhuru na clauds media ndio vinara wa hii michezo.

Nina uhakika kabisa hata wewe juliana shonza unajua hayo tena huenda hata inayafurahia ila hapa umekuja kutuzuga tu, ili ujifanye haulewi hayo.

Kwa mfano siku ya jana, mwigulu nchemba alikuwa mbeya na wewe ulikuwepo, alichokisema jukwaani ni kile kile ambacho kinaenezwa mitandaoni, lakini kwa furaha na hamasa wanaccm walishangilia, sikuona any negative reaction toward to such speech kutoka kwako au kada mwingine wa ccm.

this is painfull:taifa linakwenda kugawanyika yetu macho.mambo usiyopenda ufanyiwe usimfanyie mwingine mana lazima iko siku utalipia -
 
Usiigope kugawanyika kwa Taifa.....walio asisi hili taifa wako mbele ya haki na watakaoligawa watakwenda mbele ya haki pia.Na watakuja wengine wataliunda upya hili taifa.
 
mama Regina alikua anaongea, pembeni yake kuna kijana akaanza kumshika mkono kumpapasa, mara baada ya kumshika mkono, akaenda mbele zaidi akamshika sehemu ya nyuma katika mwili wake (NYOSSO ACTION). haikua vizuri.

ok mkuu..lakini hata huyu kijana, yeye alikuwa na haki ya kumfanyia mama mheshimiwa mambo hayo, maana haielezwi kama kuna hatua yoyote aliyochukuliwa, zaidi sana inapendekezwa kuwa hatua zichukuliwe kwa aliyechukua video pamoja na wanaozisambaza...
 
Mimi huwa kuna vitu napatashida sana kuelewa.. ukiangalia ile video utaona yule kijana kazungusha mkono kwa nyuma wakati wote mama regina anaongea, sasa najiuliza kwanini hakumzuia tangu mwanzoni? alafu kwanini watu wa ukawa wavujishe hii video? nini lengo laa haya yote? ina maana hawamtaki lowasa katika chama hicho, ina maana wamemchoka mwanamama huyo katika chama? mimi sijui ila onyo langu la kwanza ni kwa hao vijana waliovujisha hiyo video... hili halikuwa wazo zuri hata kidogo jwa sababu sisi tuna wazazi na hakuna ambae angependa kuona mzazi wake anafanyiwa hivyo.;Ni hayo tu kwa leo


Mkuu sio wote unaowaona kwenye kundi wana nia safi na kundi husika, wengine ni mamluki toka kwenye kudi lingine. Kumbuka ile Clip ya Masaburi na wale vijana waliojifanya ni wana Chadema.
 
Nimepata hasira hadi basi,naona kama ni mke wangu kafanyiwa hivo niko tayari kufa nisingeweza vumilia ningemtafuta popote alipo kwa gharama yoyote ile
 
Back
Top Bottom