Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

Tatizo anapenda kwenda sehem ambayo atapata wa2 wengi afu moyoni anajipa moyo atashinda wakat hajaenda sehm kibao na ndo kazikoxa kura za uko ivo
 
Kitu gani kipya unataka kukisikia kutoka kwa lowasa? inamaana mpaka leo ujui vipaumbele vyake? au sauti yake inakuvutia ? nyinyi wakati mnazindua kampen pale jangwani bwana pushup aliongea dakika ngapi?

Usimfananishe Magufuli na lowasa ww, vi2 viwil havifanani, Hapa Kazi Tu majungu peleka ukawa
 
Labda kwa wazungu. Sio kwa mimi mtz nisioweza kupambanua nilipotoka na nilipo mpaka nioshwe akili na wenye akili zao.
WEWE unafikiri hayo Mafuriko yanayowasumbua CCM yanapatikana vipi? Kikwete kayaita moto wa mabua cha ajabu unazidi kuwaka-watu wote wanaolea kati(undecided voters) Lowassa kesha beba
 
Najiuliza kisa cha mgombea wa Ukawa Bw. ENL kufanya kampeni mara tatu tatu Arusha ni nini?Tuseme ajiamini na kwao?amekosa mvuto kule?au magufuli kabomoa ngome??Loawasa katafute kura sehem ambazo hukubaliki kaka,muda unayoyoma huu,kumbuka kuna sehem hujaenda kabisaa

Huko ndio kuna kiki
Hata ngome yake imevunjika
magufuli kavunja kila kitu
 
Kweli nimeamini kuwa kulia sana kwa ngoma mwisho kupasuka,yule mgombea wa Ukawa aliejazwa nyomi wakati anatangaza nia ya kugombea urais kupitia CCM,jana hali nilioina pale arusha wakat jamaa akijinadi kupitia Ukawa ni tofauti,licha ya jitihada kubwa zilizofanywa za kuleta watu mkutano haukuweza kufikia hadhi ya ule wa mwanzo!Kwa kweli nami nimekata tamaaa
Tatizo nanyinyi mmenunuliwa toeni habali acheni ushabiki
 
Wakati anatangaza nia Arusha ilisimama.lakini tukumbuke mabasi yalizomba watu mikoani.Sasa anapokuja kukosa ile nyomi tuseme hela ya kuwazomba imeisha au?
 
Nikikuwa Arusha na huku manyunyu ya mvua yakiwa yanadondoka namsikiliza mzee.

Alisema Mkapa anaondoka uchumi ulikuwa kwa asilimia 7. Akaja Jk miaka yake kumi uchumi bado upo pale pale KWENYE ASILIMIA 7.

Sasa tuje kwenye mada, hawa NBS wao walichokanusha mimi sikioni kwani wao NBS nao wamesema asilimia 7.9. Wakati mzee Kingunge alisema kwa sasa uchumi wetu ungepaswa ukue kwa asilimia 11 hadi 15.

Wataalam wetu mnajidhalilisha kwa kuingia kwenye siasa na huku mnachotetea hakijulikani. Pia kuna vipimo vya kawaida tu huku mtaan (site) vinavyoonesha hali tete kwa Watanzania kiuchumi.
 
Mfumuko wa bei ,kushuka thamani ya shillingi (Musumbiji pamoja na vita wako juu Mbaya), n.k. Hizo elimu za kudesa vyuoni ni dangerous
 
Kingunge aliongelea kudorora kwa uchumi wa dunia (global financial crisis) kati ya vipindi vya hawa marais wawili?
Maendeleo ya kiuchumi yanategemea mambo mengi sio automatic kuwa katika miaka kadhaa unakua asilimia kadhaa.
Sasa hiyo hutegemea mambo yanayoathiri uchumi
 
Wana JF nadhani wote tunakumbuka kilichotokea juzi mkutano wa Arusha CHADEMA uliyo nadiwa na UKAWA kuwa ungerusha live na ITV tuliacha shuguli zetu mapema na kuukaa kwenye Tv kusubiri mkutano huo lakini kilicho tokea kila mtu anajua.

Sasa nimebaki na maswali chungu nzima, ni nini walichoshindwa au walichoogopa maana nilitaka kuwasikiliza kwa hoja zao Lowassa na Kingunge na hasa Kingunge na badala yake tunakuja kulishwa maneno kwenye taarifa za habari.

Mimi binafsi nimekuwa natamani sana kumsikiliza mgombea live akiongea na siyo kulishwa maneno kwenye taarifa za habari ili niweze kupata kuwajua wagombea.
 
Wana JF nadhani wote tunakumbuka kilichotokea juzi mkutano wa Arusha CHADEMA uliyo nadiwa na UKAWA kuwa ungerusha live na ITV tuliacha shuguli zetu mapema na kuukaa kwenye Tv kusubiri mkutano huo lakini kilicho tokea kila mtu anajua.

Sasa nimebaki na maswali chungu nzima, ni nini walichoshindwa au walichoogopa maana nilitaka kuwasikiliza kwa hoja zao Lowassa na Kingunge na hasa Kingunge na badala yake tunakuja kulishwa maneno kwenye taarifa za habari.

Mimi binafsi nimekuwa natamani sana kumsikiliza mgombea live akiongea na siyo kulishwa maneno kwenye taarifa za habari ili niweze kupata kuwajua wagombea.

'Pole mkuu

-Watu hawakuwa wengi kama ilivyotarajiwa
-Na kamanda wetu edo aliishiwa nguvu tena kama kawaida yake skiwa katika dakika ya pili ya mazungumzo jukwaan.
-na lile tukio la geita lilijirudia
Na hivyo hatukuona sabab ya kurusha huo mkutano

Lakin siku nyingine tutamuandaa vzuri like tukio la geita halitajirudia tena
 
Wana JF nadhani wote tunakumbuka kilichotokea juzi mkutano wa Arusha CHADEMA uliyo nadiwa na UKAWA kuwa ungerusha live na ITV tuliacha shuguli zetu mapema na kuukaa kwenye Tv kusubiri mkutano huo lakini kilicho tokea kila mtu anajua.

Sasa nimebaki na maswali chungu nzima, ni nini walichoshindwa au walichoogopa maana nilitaka kuwasikiliza kwa hoja zao Lowassa na Kingunge na hasa Kingunge na badala yake tunakuja kulishwa maneno kwenye taarifa za habari.

Mimi binafsi nimekuwa natamani sana kumsikiliza mgombea live akiongea na siyo kulishwa maneno kwenye taarifa za habari ili niweze kupata kuwajua wagombea.

Nenda kwenye kampeni wewe TV haina haja maana umeme unakatwa na magufuli
 
Back
Top Bottom