Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

Kuna kila dalili kuwa Chama cha Ukombozi, Chama Tawala , Chama Makini kitashinda kwa zaidi ya 90% na kupata wabunge wengi sana, maana wananachi wamechoka na Mafisadi (ATM) yanayosafishwa kwa gia ya MABADILIKO. Wananchi msipoteze kura zenu UKAWA mpigie Dr. MAGUFULI (PhD). TOROKA UJE
 
Hapana nadhani ungesema 100% roho yako itulie haya nenda kachukue mgao wako.
 
Mgombea urais kupitia ccm john pombe magufuli anatajwa kuwa atashinda uchaguzi huu kwa 89% kwa kuwa anakubalika kwa wananchi kwa kiwango kikubwa
 
Ushabiki ukizidi sana hugeuka ndoto za Abunuasi. Hivi hata wewe unaamini ulichokiandika kweli au ni kwakuwa unalipwa?
 
Labda iwe ni ktk nchi nyngn sio tz,,,hv watu wa ccm hamwoni ht aibu kuandika madudu yn hy,,,duh mnashd,,,,yani ht ukiweka magufuli na jiwe,,,jiwe linashinda
 
Labda kwa kudanganya na kuruka ruka kama chura, sorry kuruka ruka jukwaaani
 
Hongera Dr. Magufuli wewe tegemeo la WATANZANIA wote, KANDA YA ZIWA tunakuunga mkono
 
HV BADO KUNA MAZIMWI YANAMPIGIA KURA MAKOMEO....! Daah nchi hii vlaza wengi kweli elimu...elimu...elimu ....✌🏿️
 
Wanajifariji tu ccm ipo ICU na madaktari bingwa wamesema wasubiri kudra za wananchi lkn wao wanasema wanasubiri bao la mkono. WAMECHELEWA!!!!
 
TAFITTI ZAONYESHA MAGUFULI NI KINARA NA ATAONGOZA KWA ZAIDI YA SILIMIA 70 huku wakifuatiwa na ACT na ukawa
KAWA kugawana kura na CCM kanda ya kaskazini huku CCM ikiongoza kanda ya ziwa, dar es salaam na maeneo ya kusini
 
tafitti zaonyesha magufuli ni kinara na ataongoza kwa zaidi ya silimia 70 huku wakifuatiwa na act na ukawa
kawa kugawana kura na ccm kanda ya kaskazini huku ccm ikiongoza kanda ya ziwa, dar es salaam na maeneo ya kusini

kusini? Sahau mkuu kuanzia, jimbo la mkuranga, kibiti, utete, lindi mjini, mtama, kilwa kusini, kilwa kaskazini, mtwara mjin mpaka masasi. Ccm watalia kilio kikubwa sana!
 
Back
Top Bottom