Recent content by mzee wa malinyi

  1. M

    Kwanini iwe Kagame Cup?

    Unafiki na Majungu ndo maisha ya Watanzania. Hawa yanga si ndo walienda kumtembelea huyo anayeitwa muuaji Ikulu na wakala naye chakula?
  2. M

    Wawakilishi wa TFF, Azam nje

    Wivu hauwez kukutoa hapo ulipo...
  3. M

    Samsung min inauzwa.

    kama una dau nipm tumalizane hapa barazani kuna uzuri na ubaya wake..
  4. M

    Samsung min inauzwa.

    Laptop inauzwa ni samsung min bei ni maelewano.. Piga 0718934313 kwa mawasiliano. Muuzaji yupo Dar.
  5. M

    Nafasi za kazi NSSF

    No wonder vijana wengi hatuna ajira. Maana tumekubali upuuzi utawale uwezo wetu wa kufikiria.
  6. M

    Diamond - Mdogomdogo (Video na Lyrics)

    As long as hajaimba matusi sio mbaya kuisikiliza, midundo haiwez fanya nyimbo iwe ya kipuuzi. Diamond hajawahi kuwa nje na jamii yake siku zote ye ni mswahili tu kama sio kwa nyimbo zake basi kwa matendo yake.
  7. M

    Upuuzi wa Joyce Kiria kuhusu Mbasha

    hivi kumbe unaweza fungwa bila kufikishwa mahakamani?
  8. M

    Karibu Ulanga Magharib, Kanali Kinana... Tunaomba Wilaya mpya ya Malinyi

    Inauma kuona Malinyi yangu ina hali mbaya.
Back
Top Bottom