Nafasi za kazi NSSF

Nafasi za kazi NSSF

MSIKILIZE ALIYEKUWA WAZIRI WA HABARI NA UTAMADUNI, Mhe. George Huruma Mkuchika

Mheshimiwa Mwenyekiti, ndugu yangu Mheshimiwa Manju Msambya hapa amezungumza jambo, naogopa lakini sasa limezungumzwa ndani ya Bunge. Bodi yaTBC ina Wakristo tupu.



Mhe Mkuchika aliendelea:


Mheshimiwa Mwenyekiti, nataka niseme, mimi ni kada katika chama changu, naipenda nchi yangu, naheshimu umoja wa nchi hii, tukianza kuchunguzana kila Shirika Waislam wangapi, Wakristo wangapi, je ikija ikatokezea limekutwa shirika lina Waislam tupu au Shirika lina Wakristo tupu, itakuwaje? Nadhani jamani sisi tumekomaa, tunaangalia nani tumweke pale atufanyie kazi. (Makofi)
 
MSIKILIZE ALIYEKUWA WAZIRI WA HABARI NA UTAMADUNI, Mhe. George Huruma Mkuchika

Mheshimiwa Mwenyekiti, ndugu yangu Mheshimiwa Manju Msambya hapa amezungumza jambo, naogopa lakini sasa limezungumzwa ndani ya Bunge. Bodi yaTBC ina Wakristo tupu.



Mhe Mkuchika aliendelea:


Mheshimiwa Mwenyekiti, nataka niseme, mimi ni kada katika chama changu, naipenda nchi yangu, naheshimu umoja wa nchi hii, tukianza kuchunguzana kila Shirika Waislam wangapi, Wakristo wangapi, je ikija ikatokezea limekutwa shirika lina Waislam tupu au Shirika lina Wakristo tupu, itakuwaje? Nadhani jamani sisi tumekomaa, tunaangalia nani tumweke pale atufanyie kazi. (Makofi)

funika kombe mwanaharam apite nenda IFAKARA HEALTH INSTITUTE BAGAMOYO ujioner
 
Watu washaanza kazi last week eti leo ndo wanatangaza.bongo ni nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Je ili kupata kazi NSSF inabidi uwe Muislamu, is this true?

NDIYO! ndio maana wafanyakazi wote wa NSSF ni waislamu. Hakuna mkristo hata mmoja. (Maswali ya kijinga kabisa na uchochezi)
 
Hivi sio lile shirika linalotoa ajira kwa misingi ya dini au siku hizi wamebadilika.
 
hivi ukituma application kwa email , wataniconsider kweli ama ndo mpaka sanduku la posta, coz naona muda umeisha na sijui this days posta wako fasta kiasi gani???

utatuletea shida na usumbufu kwenye kuprint maana kuna kazi nyingi
 
Uchochezi wapi, I personal visited the offices last time and being told, if you name is not of that side you will never be called in interview even if you Ur qualifying, At a surprise all the candidate were at least having a Muslim name! And the function of this forum is to shout so that things should change. If we shout up, it will continue burning and you never that next! It is out love to NSSF that push this! Let the forum share they experience!
 
Uchochezi wapi, I personal visited the offices last time and being told, if you name is not of that side you will never be called in interview even if you Ur qualifying, At a surprise all the candidate were at least having a Muslim name! And the function of this forum is to shout so that things should change. If we shout up, it will continue burning and you never that next! It is out love to NSSF that push this! Let the forum share they experience!

Ungeandika kiswahili nahisi ningeelewa maana hicho kizungu chako kimevunjika sana!!!!!
 
jamani ivi nilazima ku certify vyeti mahakamani ?mi nilisahau nililisoma tangazo harakaharaka yan nw ndo naona swala la ku certify je ndo ntakuwa tayar nimejidisqualify automatically?au
 
Uchochezi wapi, I personal visited the offices last time and being told, if you name is not of that side you will never be called in interview even if you Ur qualifying, At a surprise all the candidate were at least having a Muslim name! And the function of this forum is to shout so that things should change. If we shout up, it will continue burning and you never that next! It is out love to NSSF that push this! Let the forum share they experience!

Hivi mgalatia kama wewe ukishindwa kujibu swali kwa kiingereza kwenye usaili utalalamika umeonewa?..
 
jamani ivi nilazima ku certify vyeti mahakamani ?mi nilisahau nililisoma tangazo harakaharaka yan nw ndo naona swala la ku certify je ndo ntakuwa tayar nimejidisqualify automatically?au

Umewasaidia kufanya short lost
 
. Applications without latest CVs will not be considered;, hawa maustadhi vp? hw do thy knw km ni latest cv o?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom