Yeah, A.K.A mimi
Natesa sana ninapokuingia mwilini
Akina gono, kaswende wote baba yao mimi
Amini mimi ndio kubwa la maadui
Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijii
Katika ulimwengu wa kiroho, viumbe hai wote wana masafa ya nishati wanayofanyia kazi. Hata hivyo, kuna wanyama na ndege fulani ambao kimaumbile na kiroho wana milango ya fahamu iliyo wazi kuona tabaka la giza [Maalim Abdul Daruwesh].
Wachawi na nguvu za giza hawatumii wanyama hawa kwa bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.