Recent content by Mzee Rufiji

  1. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa Wazazi kulalamika Wanafunzi kubebeshwa madaftari na Vitabu vingi hadi mgongo kupinda kisa begi zito au ndo kutafuta Elimu

    Muhimu usalama. Mimi kipindi nasoma, tena shule hizi za serikali. Madaftari tulikuwa tunaacha darasani kuanzia Jumatatu mpaka Jumamosi ndio tunarudi nayo nyumbani.
  2. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Haya fursa hizo
  3. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Kwa nini utahisi ngozi ya tumboni na Kifuani kuwasha unapoanza Kukimbia baada ya Kukaa muda mrefu bila Matizi?

    Sahihi kabisa. Nyongeza, waambie kipindi wanafanya mazoezi watoe pumzi kupitia PUA, wasitumie mdomo
  4. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Shule inatafuta mwalimu wa kujitolea shule ipo Mkoani dar es salaam wilaya ya kinondoni posho/mshahara na makazi utawasiliana na mkuu wa shule kupitia namba 0689 189 345 VIGEZO Uwe una degree, diploma au certificate. Uwe vizuri kwenye somo la hisabati hasa std 6 na 7. Ukiwa mkazi wa dar es...
  5. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    PROCURE TO PAY CAPTURE (2 POSITION) Job Purpose The successful candidate will be responsible for capturing and record both rapid and purchase order invoices in Financial Accounting - SAP System. Specific Duties and Responsibilities Records all rapid & purchase order invoices in register...
  6. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Bunge La 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Ishirini Na Sita, Tarehe 11 Mei, 2026

    Leo wanaulizia maswali na majibu???
  7. Mzee Rufiji

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    PLANNING CLERK Job Purpose The successful candidate will manage, distribute and close section work orders and ensure that all operations in assigned area are carried out as per the ISO 9001:2000 Quality Management System at Kilombero Sugar to achieve the quality standards. Specific Duties and...
Back
Top Bottom