Recent content by Mzee Kikowapi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Bey Minyodo Tz, kijana wa Tanzania anayewaadhibu vijana wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

    Content creator tu. Hana lolote la maana afanyalo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Maonesho ya wakulima (Nane Nane): Serikali itafakari mambo haya 9

    Watakula wapi watu wa RS. Sasa nanenane zinasimamiwa na watumishi toka ofisi za wakuu wa mikoa. Hawa jamaa hawana wanalofanya zaidi ya kugawana hayo mapato. Mfano Sisi Wajasiliamali huku 88 ya Mbeya tunatozwa 1,000,000/= . Kuna siku niliingia kwenye kikao cha kwanza cha 88 hapo ofisi ya mkuu...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Mimi huyo nikiwa kwenye mapambano.
  4. M

    JamiiForums Tanzania wazungu wanajipiga kitanzi kwa kuendelea kuonea huruma wahamiaji haramu: Siku ya leo tu makumi ya maelfu wamevuka Spain

    Mbona hawazamii kwenda kwa waja wenzao wa Allah kama Arfganistan, Iraqi, Iran, Somalia hapo karibu ila wanakimbilia kwa Makafiri?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wanawake wavaa ushungi huwa wanasuka au kuvaa mawigi?

    Kwa sababu dini yao inejengwa kwenye msingi wa UCHI. Wao kila kitu ni UCHI.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unaweza kumruhusu mke au mpenzi wako aende mbio za Marathon peke yake?

    Acha woga. Waruhusuni waje kwenye Marathon.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nilishamsikia mtu mmoja mkubwa tu wa nchi moja anasema sisi yoyote anayeendelea kimaendelea kwa kasi huyo ni adui yetu

    Hili hata mi nilikuwa nataka nilitoe. Huyu mama ni hovyo kabisa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Ni sahihi, hakuna mpira ni uchafu kwa kweli.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Sasa hapa kati yako na yeye nani anaonekana bwabwa? Acha ujuaji usio na maana na kuongea vitu vya ajabu mbele za watu. Mzee yupo sawa, na watu wenye uelewa wameshaona huo upuuzi wa TFF na sasa hawafuatilii tena mpira wa Tanzania na ndio maana mahudhurio ya watu uwanjani ni machache sana...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta hela?

    We kafiri vipi? 😂😂😂
  11. M

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Machief: Mbeya atakayeandamana atakuwa halali yetu

    Utarogwa we boya. 😂😂😂 Hakuna chief hata mmoja hapo. Vibaka tu hao.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwa uchawa huu kweli kuna tofauti ya machawa na yule awafugaye/

    Chawa umefika sio? Hongera kuwa chawa wa Mama.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Je, Mama , Dada na Binti kuanika Chupi Hadharani kwachangia vijana kujichua?

    Sio vyema kwa mzazi kuweka hovyo nguo zake za ndani ila hili la jamaa la kupigia punnets chupi ya Mama, Dada na ndugu zake inasikitisha sana.
Back
Top Bottom