Nondo ulizopewa na Shehe Mazinge a.k.a Professa asubuhi hii mnaposubiria swallat alfajiri hii.
Wacha Weeee, chambua la masjid Jumaa hilo toka Kijiji cha kwa mtoro Muheza hilo.
Back in days 2010 nikiwa Naishi Mpanda Mjini.
Nilikuwa nimepanga nyumba moja hivi. Mbele ya hiyo nyumba kama baada ya nyumba 2 au 3 kutoka nilipopanga, kulikuwa na nyumba ya kupanga na mbele ya hiyo nyumba kuna frame ya duka na kuna jamaa wanatengeneza spika za muziki. Nilikuwa napita hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.