Recent content by Mzee Kikowapi

  1. M

    Msikilize mwananchi aliyekutana na kuongea live na Yesu

    Sasa hapo kinachoshindikana ni nini Mungu kuchukua umbo la mwanadamu na kutaluwa kama mwanadamu? Mbona allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii pasipo kujaminiana na mwanamke? Sasa kama allah amemuumba mwanadamu kwa tone la manii ambayo sijui aliitoaje mwilini pake itashindikana hilo...
  2. M

    Msikilize mwananchi aliyekutana na kuongea live na Yesu

    Mbona mi nimetokewa na mtume Muhammad akiwa ameongozana na bi. Aisha?😀😀😀😀
  3. M

    Msikilize mwananchi aliyekutana na kuongea live na Yesu

    Imejengwaje juu ya jufuru mkuu? Mbona mi nimemuona mtume Muhammad na nimeongea naye?
  4. M

    Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

    Ndio nakutunza wewe na mkeo wote. Nitawaoa wote kwa mali nyingi kama alivyofanya Aziz Ki. 😀😀😀
  5. M

    Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Tsh. Milioni 30

    Tafuta pesa wewe. Umaskini ni chanzo cha Roho mbaya na husda mwisho huzaa uchawi.
  6. M

    PreGE2025 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma: Maadhimisho ya Kuzaliwa Kwa CCM 05 Februari, 2025 kutakuwa na uji bure kwa wananchi

    Hahaaaaaa watani zangu watajaa kama nzi siku hiyo kwa ajili ya uji. Dah hii ni kauli ya dharau sana kwa kweli.
  7. M

    PreGE2025 Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

    Mbona uzi ni mzuri tu na mleta uzi hajakosea kitu. Je lengo la kujaza mapicha ya Samia kwenye sare za siku ya wanawake ni nini?
  8. M

    PreGE2025 Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

    Umeacha kazi ya Ukonda wa Hiace ha kutoka Vwawa kuja hapa Stend kuu Mbeya? We hata ulambe vipo matako ya Abdul pamoja na kumuimba Mama abdul huambulii chochote. We endelea na kazi yako ya ukondakta. Kuna siku nilikuona unaandika hizi nyuzi zako hapa stendi ya mjini Mbeya ukiwa kwenye Hiace...
  9. M

    Hivi ni kweli watu wana rogwa au ni stori tu tom and jerry

    Njoo na kitoto dinda chako utembee na wake za watu si hakuna uchawi mkuu.
  10. M

    Hivi ni kweli watu wana rogwa au ni stori tu tom and jerry

    Hamtudanganyi nyie mawakala wa shetani maana mbinu yenu sasa ni hiyo ili mturoge.
  11. M

    Hivi ni kweli watu wana rogwa au ni stori tu tom and jerry

    Nenda Iringa utmkatembee na mke wa mtu ukutane na LITAMBULILO wakuzike kama wanavyomzika mwenzio kesho.
  12. M

    PreGE2025 Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

    Imekuwa nchi ya machawa. Kila mtu ni chawa sasa. Imekuwa nchi ya kipumbavu sasa hata kuvuta pumzi unamshukuru Samia. Pumbavu kabisa. Inaboa na inakera.
Back
Top Bottom