Recent content by MZAYONIST

  1. M

    Makonda: Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania wala Mwenyekiti wa CCM

    yani makonda fanya kazi vizuri Chadema ishinde wewe ni upinzani mzuri kama ulikuwa ccj karibu chadema
  2. M

    Kambi ya Upinzani mwaka 2016

    Hilo ccm hawalioni wanajua watakaa madarakani milele na kurithishana kama utawala wa kifalme
  3. M

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Tulifahamu kuwa angeshinda maana asinge waelewa kwa sababu yeye ni ccm chini kwa chini leo imethibitika angalia maccm wanavyo furahi pilipili iliyoko shambani inawauma nini?
  4. M

    CCM Arusha wameanza kampeni kabla ya muda wamegeuka popo usiku kucha kusumbua watu kata ya Sombetini

    Ni kawaida CCM ni wazee wa rafu,yani ni na simba wazee
  5. M

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    Nijambo la msingi kuwafukuza halo wasalitu
  6. M

    Makinda ainuwa Mikono kwa Tundu Lisu - TBC Live

    Spika kama siku zote angekuwa hivi mbona mambo yangeenda
  7. M

    Kigoma Yazizima kumlaki Dr Slaa

    Source:Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene Safi sana maana zito na maccm walifikiri kuwa kwa kuvuliva nyadhifa wafuasi wa chadema wangesusia mikutano aibu imewapata
  8. M

    Dkt. Slaa ziarani: Mikutano ya Desemba 6, Mabamba (Muhambwe), Kibondo mjini

    Yani maccm ni mashushi eti kigoma stop sijui wakiona hivi wanajisikia je?
  9. M

    Msajili wa vyama aombwa aifute CHADEMA

    Sijui ni kwa nini ccm hawaendi na majira na nyakati
  10. M

    CHADEMA Arusha yasusia Mkutano wa upatanishi

    Kwa hill namuunga mkono mbunge na wananchi wake kwa msimamo wao Tanzania yote ingekuwa kama Arusha magamba wange kuwa wameisha.na hii ni salamu kwa mutungi kujua jinsi police wanavyo Fanya kazi kiccm.mbunge Lema hongera sana kwa hili umekuwa kisiasa.maana nidhamu ya woga hafai maana kwa nje ni...
  11. M

    Mahesabu ya Zitto na wapambe wake yamekwenda kombo -- namsikitikia sana!

    Ndugu yangu umesema kweli tena unaona mbali utakuta hata wanachama wa ccm wanashabikia hapo ndipo utaona kuwa kuna njama chafu.watanzania tuamke
  12. M

    Arusha: Sasa kuna CHADEMA asili na CHADEMA family - "Lema ndiye tatizo kubwa" - Amani Salenga

    Naomba niseme kidogo kuna jamaa zangu wako A town wanasema juzi walikuwa kwenye mkutano na wanachama walikuwa wengi sana ila inavyo onekana kuna baadhi ya wasaliti wachache ambao wanataka kuharibu lakini hawataweza maana A town 85% ni Chadema kwahiyo wanajiangaisha tu.
  13. M

    Waliowahi kufukuzwa CHADEMA

    Kwa upande wangu mimi binafsi naungana na uongozi wa Chadema kufukuza wale ambao niwasaliti,kwa mfano mtu anasema tatizo ni uenyekiti mimi napinga mtu kama anaona katiba inakiukwa sio kukimbilia kwenye media maana kuna taratibu zake,wakifukuzwa wanaleta maneno yasio natija,Chadema muda umekwisha...
  14. M

    Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

    Sasa hayo ndio mambo tunataka kusikia
Back
Top Bottom