Tulifahamu kuwa angeshinda maana asinge waelewa kwa sababu yeye ni ccm chini kwa chini leo imethibitika angalia maccm wanavyo furahi pilipili iliyoko shambani inawauma nini?
Source:Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Safi sana maana zito na maccm walifikiri kuwa kwa kuvuliva nyadhifa wafuasi wa chadema wangesusia mikutano aibu imewapata
Kwa hill namuunga mkono mbunge na wananchi wake kwa msimamo wao Tanzania yote ingekuwa kama Arusha magamba wange kuwa wameisha.na hii ni salamu kwa mutungi kujua jinsi police wanavyo Fanya kazi kiccm.mbunge Lema hongera sana kwa hili umekuwa kisiasa.maana nidhamu ya woga hafai maana kwa nje ni...
Naomba niseme kidogo kuna jamaa zangu wako A town wanasema juzi walikuwa kwenye mkutano na wanachama walikuwa wengi sana ila inavyo onekana kuna baadhi ya wasaliti wachache ambao wanataka kuharibu lakini hawataweza maana A town 85% ni Chadema kwahiyo wanajiangaisha tu.
Kwa upande wangu mimi binafsi naungana na uongozi wa Chadema kufukuza wale ambao niwasaliti,kwa mfano mtu anasema tatizo ni uenyekiti mimi napinga mtu kama anaona katiba inakiukwa sio kukimbilia kwenye media maana kuna taratibu zake,wakifukuzwa wanaleta maneno yasio natija,Chadema muda umekwisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.