T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 991
hivi kwa nini bavicha mnapenda kashifa na kejeli?
Kwa sababu wanatumia vichwa kufugia nywele peke yake
hivi kwa nini bavicha mnapenda kashifa na kejeli?
Kapuya na dent, Mwigulu na aliomtoa mimb kule IgungaHivi kweli CHADEMA FAMILY mnaweza kutukana viongozi wa dini walioitisha mkutano ili kutafuta Amani arusha? kweli laana ya kuwa na viongozi wazinzi ( SLAA NA JOSEPHINE NA DJ MBOWE NA JOYCE MUKYA) inaiangamiza CHADEMA , shame on you watu msio na hofu na mungu.
Ndani ya viwanja vya stadium Arusha viongozi wa dini maaskofu mashekh na viongozi wa vyama vya siasa wametoa rai
Kwa msajili wa vyama aifute chadema kwani hawataki Amani nandiyo maana leo wameigome siku ya leo
Nauliza tena swali hili....Kwenye Tamko hilo Mtikila alikuwepo? Maana naye ni kiongozi wa dini yake .......
Sijui ni kwa nini ccm hawaendi na majira na nyakatiMwenyekiti wa ccm ar ole nangole kazomewa mbaya alipoanza kumsifu rc mulongo na meya lyimo ni kwenye kongamano la amani Arusha..
Nauliza tena swali hili....
wangepga na mawe
Arusha ccm haipo maana ina viongozi tu, haina wanachama, Arusha ni chadema na CUFMwenyekiti wa CCM Arusha Ole Nangole kazomewa mbaya kwenye kongamano la amani Arusha alipoanza kumsifu RC Mulongo na meya Lyimo.