Recent content by mzawa098

  1. mzawa098

    Majina ya Kizungu na Kiarabu ambayo yamekuwa "Africanized" na kupata hadhi ya kuwa majina ya Kiafrika

    Wachagga na jina Emanueli(Manuu), Paulo zakaria, zakayo Wa-Arusha na Zabron, Lazaro, Eliasi
  2. mzawa098

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    Jambo moja kwa hakika ni kutambua nafasi yako katika penzi kaa kumbuka kama ulifanya yote sahihi ili kumhifadhi na yeye je alitambua kuwa unafanya juhudi zozote kwa ajili ya penzi lake hata arudishe penzi kwako, kama la ujue Hakua wako wala sio stahili yako zaidi kakuepushia makuu kama uchumba...
  3. mzawa098

    Afrika Inahitaji Viongozi Wenye Maono kama Akufo

    Safi sana mkuu kwa chapisho lako kitu Mh. Nana Akufo alichofanya nachelea kusema ni shujaa na mfano wa uongozi tunaouhitaji Afrika, ni karne ya 21 sasa ila tunaishi kama binadamu wa enzi za mawe za kati kama alivyoangazia Rais Nana ni zaidi/karibu miaka 60 sasa tangu nchi nyingi za Afrika...
  4. mzawa098

    Maisha ya ubachela ni vituko

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukweli mtupu, ubachela nikuskia njaa ndo kuanza kupika ni ngumu sana kwanza kwangu haijawahi kutokea napika sina njaa au unapika mchele kilo mbili ili uwe unapasha tu kila unaposkia njaa mboga nayo kama sio mchemsho wa nyama basi ni mayai...
  5. mzawa098

    Dunia imeamua kujitoa ufahamu: Inadai Yerusalemu siyo mji mkuu wa Israel

    Jumapili hii wakristo waafrika watakua kanisani wakiiombea israel ili hali kwa uchache wa wakristo israel ni negligible very few, nawasihi wafanye mambo ya maana kama kuwaombea walioanzisha ukristo (waroma) Tukiacha hayo ndugu zanguni wabantu inabidi tujiandae kurudi kongo nyumbani maana...
  6. mzawa098

    Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha nicheke tu
  7. mzawa098

    Special thread: JF noma hits 2017. Weka ngoma kali hapa ya music unayoikubali kwa mwaka 2017 !

    Martin garrix - scared to ne lonely The weekend- reminder Wizkid - medicine
  8. mzawa098

    Wale tuliopanga malengo Januari na hatujatimiza tukutane hapa, mwaka unaisha huu

    Mipango yangu 2/5 nimeifanya japo imefeli ila sitachoka kujaribu hio mitatu iliobakia sijaitekeleza kosa kubwa ni kukosa adabu na fedha...natumai kuna watakao jifunza kutokana na makosa yangu...2018 naingia na kifutio kurekebisha makosa
  9. mzawa098

    Kiwanda gani naweza fungua/anzisha kwa gharama ya millioni nne?

    Napenda nachokisoma kwenye huu uzi watu bila choyo wanatupa technique za maisha safi sana huu ndio undugu wa Afrika tunatakiwa kuwa nao tutafika mbali sana tukishirikiana hivi hivi bega kwa bega Kesho ni ya kwetu najua kuna wajinga wachache wanajaribu kuharibu uzi siwalaumu maana bado...
  10. mzawa098

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nimefata hii link imekubali Start trading with amazing $3500 STARTUP no deposit bonus Hapa ndo najitajidi kusoma terms zao ila so far so good
  11. mzawa098

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Kwamba watumishi wa Mungu daladala zimeundiwa wao, watoto wao tu ndo wakasome kayumba na shule za kata mikopo yenyewe chuo hawapewi, wasibadilishe mboga sio, binadamu bhana, mwingine anasema tumepewa neno bure mbona nanliuu mnatoa kwa hela si mlipewa bure pia, afterall religion is a lie.
  12. mzawa098

    Let's play ▶ this Sunday

    .
  13. mzawa098

    Kwa nini wanawake waliokwama kwenye mahusiano hupendelea kuweka dred?

    Budget mkuu saa hiyo si anakua anajilipia mwenyewe saloon
  14. mzawa098

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Kabla hujaendelea kumhukumu tujiulize huo ukumbi kwenye hiyo mall ni wa gharama gani? Ye mwenyewe ana kazi gani nyingine inayomuingizia kipato kufanya maisha? Na watumishi waki roho wanatakiwa wawe na utajiri kiasi gani? Kama kumuamini Mungu ndo kila kitu kwani isiwe chanzo pia ya kujipatia...
  15. mzawa098

    Hizi ajali tuziangalie kwa jicho la pili. Sio za kawaida kabisa; inafanana za wakati wa uchaguzi

    Propaganda tu hizo ajali nyingi ni kutokana na uzembe angalia takwimu za ajali kwenye nchi zilizoendelea na nchi masikini utaona utofauti. Ifike mahali tuache kulaumu kila kitu ikiwa chanzo cha matatizo yetu ni sisi wenyewe
Back
Top Bottom