Tabora boys. Imefulia we ulo wapi? na kilakara zamani sasa hivi sio sana. Halafu we umeandika kutokana na matokeo ya o-level. Kwa advance hapo zingine top ten haziingii. Mf. Kuna Dakawa, Marangali. N.k hizi zipo juu kuliko Tabora na Kilakala ambazo zinafunikwa hata na Ifakara girls
maana yake Ubungo tena itakuwa si sehemu ya makazi peke yake. bali biashara zaidi. kwani Posta wanakaa kabira gani? mbona hakuna wapemba wengi kwasababu ndipo wanaposhukia na kupanda meli. Yes Ubungo Tumezungukwa mitaani kote na Wachaga, Wahaya. Wapare. Watanga. Wairinga. Wasukuma.
usinipe pole mimi wape pole wa huko mbali. Mi kwetu Ubungo. so mbezi kwangu sio mbali kiivyo. Nafurahi Ubungo yetu inazidi kupambwa tu. Watujengee hayo mahoteli na malls zaidi ya Mlimani City Mama Joe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.