Tofauti kati ya wanawake wa udom na udsm

Tofauti kati ya wanawake wa udom na udsm

cha msingi kusoma mazingira unapokwenda iwe udom/udsm then make desicion namna ya kukabiliana nayo ili kutimiza malengo
 
Utafiti wako ni mzuri usikatishwe moyo ila pia unakumbushwa kuchangia hoja husika na si kwenda nje yani topic
 
Ila kifupi wasichana wa chuo kikuu ni hatari, sio wa kugusa/kuoa unless wewe ni pedeshee wa nguvu.
 
acheni kudanganyana chuoni mbona kuna wasichana wengi wastaarabu tu sio kila msichana kaharibika wapo wanaofaa kuolewa kwani hao wanaofanya kazi maofisini si wametokea vyuo na wao mbona sasa mnawaoa?
 
Mbona Mimi nna Demu wangu yupo udsm lakini nikiwa na 10000 tu natoka nae na bata nakula kikawaida tu
 
Hahahahaha da kweli majanga mm.haya bwana ni ukweli mtupu lakini
 
hahahaha udom nimekumbuka kale kakichaka hahaha me nakumbuka kipind hicho nasoma udom nimepanga makole videmu vya cbe sasa ful shobo
 
Sina mbavu maji ya kudownload...! Nimeyatumia sana enz hzo kwa wale wasiyoyafahamu ni maji ya kuchemsha na majagi ya kichina, ila hayo maj yanachumv ni balaa hapo chuoni. Da kwel tembea uone udom kwa sana tu hata km una starlet yako unaweza wamilik ma she kibao mana weekend usafir unazingua kwa sana
 
Watu wanaitaji mawazo chany bhn, cyo mambimo ya mangachu bee(madema) v kwel ww n mwanazuon kweli!? Achane ungese bhn....
 
hahahaha udom nimekumbuka kale kakichaka hahaha me nakumbuka kipind hicho nasoma udom nimepanga makole videmu vya cbe sasa ful shobo

mimi kwa maeneo ya dom hua nafikia kwa mshua kule area D karibu na Royal village, basi nikienda kudiba pale unawakuta watoto kibao wameenda kudiba, daah ilikua burudani sana
 
Back
Top Bottom