JF imenikumbusha mbali sana, Nyerere, Castro, Lumumba na Nkrumah. Yuko wapo Discipline Master Mwl. Ngowi, Masesa, Makita, Ngonyani, Matola, Julius, Katawa, Ishengoma, Ruhiye, Kunambi a.k.a Ponsi n.k. Nilikuwa pale kati ya miaka ya 1994 na 1997, nakumbuka kunji lililotokea mwaka 1994 ambapo...