TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Acha uongo wako hapa! leo nilikuwa singida,maadhimisho hayo yamefanyika viwanja vya peoples.Labda ungesema Magufuli ameshindwa kuhudhuria.Ila chakushangaza walijaza tu wanafunzi wa sekondari.
zimefutwa, huelewi nini? Ufunguzi ndo ulifanyika, ile kilele chake Dec. mosi hakitaadhimishwa.