Recent content by mzalendo8

  1. M

    Baba kalogwa na Mama wa Kambo, nifanye nini?

    Pole sana brother na mimi yamenikuta kama yako. Yan nimefukuzwa nyumbani mimi na mdogo wangu maana tukikaa nyumban tuna mkwaza mama wa kambo. Haya maisha yasikie tu kwa mwenzako ila omba yasikukute. Yan mama wa kambo kamshika mzee haelewi chochote. Na hii migogoro chanzo chake huwa ni mambo ya...
  2. M

    GE2020 Dkt. Bashiru: UVCCM jibuni hoja za wapinzani bila kuchelewa, ni marufuku waliopita bila kupingwa kwenda mikoa mingine kupiga kampeni

    Nikiri kwamba mm ni kada mtiifu wa chama cha mapinduzi na nampa support raisi wangu achaguliwe kipindi cha pili 2020 - 2025 ila nashangaa ukimya wa baadhi ya viongozi wa ccm mikoani na wilayani wanashindwa kujib hoja za wapinzani. Hatupaswi kumuachia Magufuli ajinadi peke yake na ajibu hoja peke...
  3. M

    Tanroads Iringa, Rukwa- Sumbawanga

    Bado wanafanya sorting
  4. M

    Jamani tusaidizane kidogo kwenye kipindi hiki kigumu

    Kaka tanzania ports authority wametangaza kaz jaribu kuomba
  5. M

    MASOMO YA MASTERS MAREKANI

    za wakati huu wadau,nimemaliza bachelor degree na ningependa kuendelea na masomo ya masters marekani naomba kama kuna mtu ana fahamu minimum GPA inayo hitajika kwa sisi wabongo ili kusoma masters marekani anijuze. pia ni jinsi gani GPA za tz hubadilishwa kupata gpa za marekani?
  6. M

    TCU tuhurumieni tuliomaliza form six miaka ya nyuma

    Kama umeandikiwa prior admission found jua kua ulikua admitted chuo hivyo omba kwanza tcu wakutoe kwenye system ndo uombe tena.
  7. M

    Mtaa wavamiwa, watu wacharangwa mapanga

    Napata wakati mgumu sana nikiskia eti jina la jambazi wame lihifadhi
  8. M

    Bilioni 6 kupelekwa kwa Rais nini maana yake?

    Ubungo president bunge lilikua sahihi kurudisha hizo pesa otherwise xingeliwa na wabunge tu. Pia bunge halina uhalali wa kutatua shida za wananchi na pale wanapo fanya hivo wanatoa kama michango.pia kama pesa imetengwa kwa safar za nje.kama wameshindwa kwenda nje wana paswa kurudisha pesa na sio...
  9. M

    Wanaume Maofisini Ndo Chanzo Ladies Kugoma Kuolewa na Broke Men. Men are so harsh on others wives

    Lara 1 upo vzr katika kuelezea lofe experience nakukubali sana
  10. M

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    Upinzan isipo chukua nchi mwaka huu. Hatuta tawaliwa na wapinzani kamwe
  11. M

    Mh Lowasa amezitukana mamlaka zote pamoja na Watanzania wote?

    Wewe tumaini wewe mtu akiongea ukweli kuhusu walio kula hela za richmond ametukana mamlaka za juu? Lowasa kamnunua nani? Wewe kama umenunuliwa sio kila mtu kanunuliwa hizo siasa za kitoto hazina nafasi sasa hv
  12. M

    Nia ya wazi ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge jimbo la segerea

    NIA YA WAZI YA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SEGEREA Na: Baraka Omari Mimi Baraka Omari kijana mzalendo wa kitanzania niliyezaliwa takribani miaka 27 iliyopita na mkazi wa Tabata segerea jimbo la segerea nimefikia uamuzi wa kuchukua form ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na chama...
  13. M

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    Naomba msaada wako mkuu Apronia richard charles S 2141/0004 F
  14. M

    Ubunge jimbo la Segerea

    Kijana ana weza All the best
Back
Top Bottom