Recent content by mzalendo iq1

  1. mzalendo iq1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama humtaki mdada mwambie ukweli aendelee na maisha mengine

    Mimi Kuna wawil nimeamua kuwavuruga wakinitafuta wiki mzima siwajibu nawakaushia uku nikiwatafutia siku moja ndan ya kila wiki nawatafuta napiga nao story baby nying nikimaliza Apo hawanion Wala kunisikia mpaka wik inaisha
  2. mzalendo iq1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukaribu wangu na ma Ex wangu baada ya wao kuolewa unampa shaka kwa mke wangu

    Nawala mkuu
  3. mzalendo iq1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukaribu wangu na ma Ex wangu baada ya wao kuolewa unampa shaka kwa mke wangu

    Toka nimeoa huu ni mwaka wa pili kasoro miezi 4 ila najikuta mwenye hofu na wasi wasi juu ya Mke wangu na Maisha yake ya nyuma kwa sababu naona mfano kwa wanawake wa ujana wangu wote ambao wamesha olewa hakuna hata mmoja nikimuitaji anaweza kunikatalia. Wanawake wengi nilio kua nao kwenye...
  4. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

    Kwahiyo wanataka Rais atoke? Mbona source ya maandamano Sio Rais ni police
  5. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Ifike hatua Waafrika tuache ujinga. Hivi Nigeria maandamano yao yanataka Serikali ifanye nini ili waache?

    Kuna Mambo Ambayo Watu hua wanayafanya na hayana faida Ila hasara tu. Mfano Nigeria Wanasema Wanaandamana ili kupinga namna Polisi inavyojiendesha Tena wanaandamana na kuingia Barabaran bila kuwa na Azimio la nini kifanyike ili waweze kusitisha Maandamano Mfano nikuulize swali waandamanaj wa...
  6. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa jinsi Kigoma tulivyo kupokea Magufuli, inabidi kwenye maendeleo usitusahau baada ya kuapishwa

    Sasa Kama Sio Rais Anae Leta Mnaendeleo Kwanini Sasa tumchague wakil mropokaj??
  7. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini CHADEMA hawahojiwi kwanini hawana hata ofisi ya maana japo wanajua kuna hela za ruzuku na michango ya Wabunge?

    Haya tuache ofisi Chadema Haina hata Drone,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  8. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini CHADEMA hawahojiwi kwanini hawana hata ofisi ya maana japo wanajua kuna hela za ruzuku na michango ya Wabunge?

    Mimi Sio mjinga Kama nyie nyumbu hahahaha pakulala ninapo
  9. mzalendo iq1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wanawake tu: Mbinu za kumpata sponsor

    Nahis danga langu limesoma huu ushaur [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7] Mana Lina bana Sana Ila ulisahau kuwaambia kua wakizingua muda mrefu tunabadil upepo
  10. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Lissu apotosha mwananchi kuhusu Uwanja wa Ndege wa Mpanda-Katavi

    Wamesha changanyikiwa hao we ngoja utasikia Mengi ipo siku watakuja kitwambia mrad wa Treni ya umeme Sio kweli haupo Ila Watanzania Tunaota
  11. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini CHADEMA hawahojiwi kwanini hawana hata ofisi ya maana japo wanajua kuna hela za ruzuku na michango ya Wabunge?

    Viatu vya wale watu wanao sema ukilleta wenzako wawili na wao wakaleta wawili utakua bilionea ndio vinafanya Watu tusiwaamin so vip chadema mnapo tuahid kua mtafanya Mambo makubwa Ambayo hamjawai kufanya katika maisha yenu???
  12. mzalendo iq1

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa jinsi Kigoma tulivyo kupokea Magufuli, inabidi kwenye maendeleo usitusahau baada ya kuapishwa

    Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim. Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine...
Back
Top Bottom