Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Magufuli alituahidi akipata Urais matajiri wataishi kama mashetani. Mpaka sasa matajiri kibao wamefilisiwa mali zao kikatili wengine wamefungwa magerezani bila hukumu ya Mahakama na biashara zimedorola.
Alituahidi pia akiwa Rais wakulima tutalimia MENO. Ameitimiza kwa kupora korosho za wakulima kwa kutumia jeshi bila kuwalipa chochote mpaka sasa. Bei za mazao zimeshuka kupita kiwango Wakulima hatuwezi kununua pembejeo maisha magumu sana na akatoa Ahadi nyingine ya kupiga mashangazi zetu wakulima ambayo hakutuahidi awali.
Kimsingi Ahadi zake ametimiza asubirie tuu hiyo Oktoba 28 na sisi tumfurahishe kweli kweli yaani atafurahi sana.
Atajua kwamba hajui mwaka huu.
Maendeleo hayana vyama.
Alituahidi pia akiwa Rais wakulima tutalimia MENO. Ameitimiza kwa kupora korosho za wakulima kwa kutumia jeshi bila kuwalipa chochote mpaka sasa. Bei za mazao zimeshuka kupita kiwango Wakulima hatuwezi kununua pembejeo maisha magumu sana na akatoa Ahadi nyingine ya kupiga mashangazi zetu wakulima ambayo hakutuahidi awali.
Kimsingi Ahadi zake ametimiza asubirie tuu hiyo Oktoba 28 na sisi tumfurahishe kweli kweli yaani atafurahi sana.
Atajua kwamba hajui mwaka huu.
Maendeleo hayana vyama.