Recent content by Mzaledo

  1. M

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

    hawa ndio wale waliozoea kuibia mtihani.ona sasa wanaibia hadi mahakamani wanabeba nondo.
  2. M

    Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?

    alijaribu kuleta serikali ya umoja wa kitaifa alithubutu na alifanikiwa ingawa baadaye waharibifu wakairudisha tena zanzibar nyuma kabisa kisiasa
  3. M

    Hakika leo Ndugai umezungumza kama Spika wa Bunge

    anaangalia muktadha.yaani anabadilika badilika
  4. M

    Kilichomponza Makonda ndicho hicho kingemponza Magufuli

    Wasanii hawakuwepo pale Steve nyerere na wenzake walikua kwenye kura za maoni
  5. M

    Inakuaje magazeti haya yanakuwa na kichwa cha habari kinachofanana?

    Au unajaribu kutuaminisha huenda ni HEADING ELEKEZI
  6. M

    GE2020 Singida Magharibi wananchi wamlilia Hamisi Lissu Mahanju wa CCM kuhusu ubunge, wadai Kingu ni mwongo

    Umejitahidi kujipigia debe.kwa umri wako no vema ukastaafu moja kwa moja.huu mi wakati wa vijana.
Back
Top Bottom