Recent content by myna1

  1. M

    NACTE, Vigezo vya kujiunga na Uuguzi ngazi ya cheti(Certificate in nursing) muliangaliwe upya

    hii ni zaidi hata ya Clinic afficer, wadogo zetu sijui wataenda wapi.
  2. M

    Msaada wa kuangalia matokeo ya kidato cha pili

    matokeo ya QT bado. hutoka pamoja na ya kidato cha nne.
  3. M

    Natafuta kazi ya uuguzi na ukunga

    tusaidie adress ili tuapply
  4. M

    Natafuta kazi ya uuguzi na ukunga

    mkuu Papaa kinyani naomba japo adress niweze kuapplu
  5. M

    Ushauri kwa BAKWATA

    nilichoekeza na ulichouliza havina uhusiano
  6. M

    Ushauri kwa BAKWATA

    dini yetu inatutaka kusoma quran na kuiweka kichwani na kuwalazimisha watoto wetu kufanya hivyo kwani Mwenyezi Mungu alishajua kuwa zama za mwisho vitabu vitavamiwa, watu watabadilisha baadhi ya aya as quran kwa manufaa Yao binafsi, hapo kama quran haipo kichwani utaweza kubabaika lkn kama...
  7. M

    Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

    kama hutaki kuoa unamtangazia nani? mi naona unstafuta mtu wa kujipendekeza nakukubembeleza.
Back
Top Bottom