Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

Ungefikiria kwanza endapo kama baba yako angekuwa na akili kama yako na asingemuoa mama yako sijui leo ungekuwepo!
 
Uamuz wa busara tu si kila furaha yko ni furaha kwa mwngne,kila mtu anamaamuz yke mi mwnyw cfikirii km me au ke ndo furaha vpo zaid ya hvyo wazazi wngu na ndgu zangu kwa ujumla ni furaha tosha maishan mwngu na nainjoy kuwa karbu nao kuliko mpnz!!!!
Ni kweli ndugu mihemuko ya mapenzi ndo inatufanya kuwa na hawa watu lakini ni kujicontrol tuu hope nitaweza
 
kama hutaki kuoa unamtangazia nani? mi naona unstafuta mtu wa kujipendekeza nakukubembeleza.
 
Yalishawahi kunikuta maisha kama yako,pesa ndiyo iliyokuwa inanipa kiburi cha kuongea kama unavyoandika,nilikuwa na mlinzi,madereva wawili,mpishi aliyekuwa ananipikia,tena nilimtoa hotelini baada ya kupendezewa na chakula nilichokuwa nakula pale,mwisho wa siku niliishiwa kila kitu,nikaanza kujificha rafiki zangu wasinione,wafanyakazi walinishitaki,maana nilishindwa kuwalipa mishahara,wanawake wale wa zamani niliokuwa nawakataa nikawa nawakimbia,mwisho wa siku nilikuja kusaidiwa na mwanamke ambaye,alinipa chakula,nikawa nalala kwake,yaani nikiwa sina hata kitu,analipa kodi,ananunua chakula,ananinunulia mpaka nguo.Basi ikabidi nimuowe,maisha yangu yameludi upya kwa kushilikiana na yeye leo nina watoto wawili nawapenda sana kuliko kitu chochote kile,nina mali nyingi tu,zaidi ya zile nilizopoteza,
 
Habarini,

Mimi ni mtu mzima na nina Akili timamu nimefikia maamuzi ya kutokuja kuoa wala kuwa na moto maisha yangu yote! Sio kwamba sina uwezo wa kuoa lahasha nina uwezo wa kuoa hata wanawake wa 5 na kupata watoto chungu nzima lakini nimekaa nimetafakari sana nimeamua kufikia mamuzi hayo.

Baada ya kuteseka sana na mapenzi ya umri wetu, baada ya kushuhuduia ujinga na usaliti wanao fanya akina dada wa miaka hii, mateso ya kwenye ndoa wanayo yapata watu na adha zingine chungu nzima mimi nimefikia hatua kutotaka kuoa wala kupata mtoto

Nina kazi yangu nzuri tu ambayo naweza kumudu kulea familia hata ya watu 10 lakini kamwe sitokaa kudhubutu kuoa na kuwa na mtoto na sitaki utani katika hili! Nimesh ichosha sana akili yangu katika mapenzi na nimeshuhudia mengi sana katika mapenzi sasa bahati mbaya yote niliyokuwa nayashuhudia ni ya usaliti na mateso katika ndoa na hii inatoka na akili walizonazo dada zetu.

Hivyo sina mda wa kukaa kuchambua kupata huyu anafaa huyu hafai huo mda sina nitahakikisha nafanya kila niwezalo kwa kutumia uwezo wangu wote niwe na maisha mazuri miaka yote! Jasho langu watafaidi wadogo zangu na wazazi wangu, nitapigania kufa na kupona katika kusaka pesa! Katika kumshukuru Mungu kwa pale alipo nifikisha nita adapte mtoto mmoja yatima nitamsomesha na kuishi naye miaka yote tena shule nzuri nitampeleka! Nyumba yangu itakuwa na mfanyakazi mmoja na mtoto mmoja na mimi basi.

Dada yoyote hatadhubutu kuja kwangu kwa namna yoyote ile na wala asijipendekeze kuja kwangu labda awe hana uwezo wa kuzaa ambao hospitalini wamethibitisha ili asije kunikeletea vimimba vya uwongo na ukweli.

Sitaki stress siku hata nikiwa sina hata mia nitaishi kwa amani hakuna wakunisumbua kuliko kuwa na mke sa nne usiku kakuomba hela unamwambia sina mnalala wote sa kumi na mbili asubuhi anakuomba tena hela hivi usiku anadhani alilala peke ake? Mimi nilikuwa kutafuta pesa? Mwisho wa siku mnaishia kugombana na kununiana hiyo mimi hapana sitaki kabisa.

Mwisho haya ni maamuzi binafsi nimeamua kushare nanyi.


Hongera man...tuko wengi kwenye hii decision ulochagua....nikupe tu moyo kua ...na mimi pia niko kwenye mrengo huu...na kwakweli...everything is fine kabisa...asikudanganye mtu..
Mimi ni mwamaume mwenye wivu...hizi kauli "kugongewa ni kawaida" ndo kabisaaaaa..zinaniaminisha kua uamuzi wangu ni sahihi...

heri puli kuliko "kugongewa ni kawaida", welcome to the stress free world bro.

NB: ninazo forms za adoptions kwa ajili ya kupewa mtoto..(kwa sababu mimi nilishaanza hizi taratibu) ila ni gharama kidogo..andaa not less than 5M, wanasheria..survey etc.
 
Habarini,

Mimi ni mtu mzima na nina Akili timamu nimefikia maamuzi ya kutokuja kuoa wala kuwa na moto maisha yangu yote! Sio kwamba sina uwezo wa kuoa lahasha nina uwezo wa kuoa hata wanawake wa 5 na kupata watoto chungu nzima lakini nimekaa nimetafakari sana nimeamua kufikia mamuzi hayo.

Baada ya kuteseka sana na mapenzi ya umri wetu, baada ya kushuhuduia ujinga na usaliti wanao fanya akina dada wa miaka hii, mateso ya kwenye ndoa wanayo yapata watu na adha zingine chungu nzima mimi nimefikia hatua kutotaka kuoa wala kupata mtoto

Nina kazi yangu nzuri tu ambayo naweza kumudu kulea familia hata ya watu 10 lakini kamwe sitokaa kudhubutu kuoa na kuwa na mtoto na sitaki utani katika hili! Nimesh ichosha sana akili yangu katika mapenzi na nimeshuhudia mengi sana katika mapenzi sasa bahati mbaya yote niliyokuwa nayashuhudia ni ya usaliti na mateso katika ndoa na hii inatoka na akili walizonazo dada zetu.

Hivyo sina mda wa kukaa kuchambua kupata huyu anafaa huyu hafai huo mda sina nitahakikisha nafanya kila niwezalo kwa kutumia uwezo wangu wote niwe na maisha mazuri miaka yote! Jasho langu watafaidi wadogo zangu na wazazi wangu, nitapigania kufa na kupona katika kusaka pesa! Katika kumshukuru Mungu kwa pale alipo nifikisha nita adapte mtoto mmoja yatima nitamsomesha na kuishi naye miaka yote tena shule nzuri nitampeleka! Nyumba yangu itakuwa na mfanyakazi mmoja na mtoto mmoja na mimi basi.

Dada yoyote hatadhubutu kuja kwangu kwa namna yoyote ile na wala asijipendekeze kuja kwangu labda awe hana uwezo wa kuzaa ambao hospitalini wamethibitisha ili asije kunikeletea vimimba vya uwongo na ukweli.

Sitaki stress siku hata nikiwa sina hata mia nitaishi kwa amani hakuna wakunisumbua kuliko kuwa na mke sa nne usiku kakuomba hela unamwambia sina mnalala wote sa kumi na mbili asubuhi anakuomba tena hela hivi usiku anadhani alilala peke ake? Mimi nilikuwa kutafuta pesa? Mwisho wa siku mnaishia kugombana na kununiana hiyo mimi hapana sitaki kabisa.

Mwisho haya ni maamuzi binafsi nimeamua kushare nanyi.
Hizi mambo hazinaga formula. Walioingia wanatamani kutoka na ambao hawajaingia wanatamani kuingia kwa hiyo mambo yanajisawazisha yenyewe.
 
Kununiana na kugombana pia kuna raha yake ati!

Hapa kuna watu wa jinsia ME wataanza kukunyatia waoe
 
Kwa sis waumin tumefundishwa kuoa ni kumalisha nusu ya dini yako, ebu angalia vizur maandiko ya dini yako kaka
Kwa wakristu kuoa au kuolewa si lazma kama tu utaweza kuzishinda tamaa za mwili.
 
Mungu alimuumba mtu mwaume,akamfanyia msaidizi kutoka ubavuni kwake ambae ni mwanamke,
Mwamini Mungu akupe mke mwema,maana apatae mke apata kitu chema,naimani ukiomba hakuna linaloshindikana kwa Mungu hapo umetumia akili zako tuu,hebu nitafte imbox nikusaidie jamani,

Mke mwema ni nani awezae kumtambua?
 
Ni kweli kaka sahizi ninacho fanya nikiwa buzy na kazii mda wa kazi ukipita naenda kurelax cinemax,club,na sehemu nyingine nikirudi na lala! Yaani najikeep buzy na kuwaepukaa kabisa hawa wadada.......Kazini nawaona wadada wa kila aina! Lakini sina mpango
Mkuu upo kwenye field gani?
 
Back
Top Bottom