Recent content by myahudi wa gaza

  1. myahudi wa gaza

    Huku Diamond na wenzake, kule Reginald Mengi na wenzake!

    Ndugu yangu madhara ya mwanamuziki kujiingiza kwenye ushabiki huwezi yaona sasa hivi lkn subiri ili vuguvugu la uchaguzi liishe ndo utaona!! Kama mwanamuziki alitakiwa asionyeshe ushabiki wa chama chochote ili aendelee kuwakamata mashabiki wote bila kujali itikadi zao! Alichokosea Diamond ni...
  2. myahudi wa gaza

    Mfanyakazi wangu wa ndani wa kike kakutwa na maambukizi ya UKIMWI

    Jitahidi umrudishe kwao kwani utafiti unaonyesha watu wengi wanaoambukiza wenzao vvu huwa hawajui kama wana vvu hivyo huyo dada ukiendelea kuishi nae anaweza ambukiza mtoto kwani hawezi kuwa makini kwa sababu hajui hali yake.
  3. myahudi wa gaza

    Nyaraka: Kashfa ya Richmond - Maagizo ya Lowassa na Uamuzi wa Serikali

    Ninavyofahamu mimi official letter muundo wake huwa unakuwa hivi; Address ya sender inakuwa juu kulia na address ya receiver inakuwa chini yake kidogo upande wa kushoto,,
  4. myahudi wa gaza

    Hawa askari wa JWTZ tunaoish nao mtaani .....

    Kwa hiyo wewe unataka nini?? Mbona hueleweki?? So unaleta uzi kama huo sisi tufanye nini sasa???
  5. myahudi wa gaza

    Lowassa kutumia zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 kutangaza nia Arusha

    Unauliza hizo pesa zitarudi vp? Subiri akiingia madarakani utajua zitarudi vp!!!
  6. myahudi wa gaza

    Maandamano Mahakama Kisutu, Watu wamevalia Kanzu na Hijabu

    Vyuo vya kikristo haviwezi kufundisha kiarabu kwa sababu kiarabu kinaendana na uislam labda UDSM na MUM
  7. myahudi wa gaza

    Nianzie UDSM au UDOM?

    huyu nae alikuwa anauliza mlimani city ni wapi?
  8. myahudi wa gaza

    Waislamu watoa tamko, kusomwa kila Msikiti Ijumaa

    Wewe ni mamluki na sio Mkristo kwani umesema mwenyewe kuwa wewe ni Mkristu na waliotoa tamko ni viongozi wakristo!
  9. myahudi wa gaza

    Kuna Matangazo Mengine hayastahili kuoneshwa kwenye TV

    Huyu jamaa inaonyesha hajui starehe ya masikini! Mapenzi ndo starehe yetu!!
  10. myahudi wa gaza

    Mahakama ya kadhi na changamoto ya ugaidi!

    Ndo waue watu wasio na hatia! Kuna dini nyingine zina misingi ya kishetani!
  11. myahudi wa gaza

    Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

    Ni wakristo tena wengi wao ni wakatoliki!
Back
Top Bottom