Mahakama ya kadhi na changamoto ya ugaidi!

Mahakama ya kadhi na changamoto ya ugaidi!

Chuki, kebehi na matusi yako haviniathiri kwa sababu havibadirishi UKUU na UKWELI kuhusu Mungu - Yahweh

Wewe mungu wako ni nani? Maana allah ni shetani kama ulivoona hapo juu. Rudi kwenye mada upinge maandiko ya kuruani kwamba allah ni shetani!.
Hahahaaa kijana inaonesha hata analysis hujui... Lakini ndio ukristo ulivyowafanya mshindwe kuhoji (difficiency in critical thinking). In simple think mungu lazima awe na msimamo lazima awe anajua nini anataka. Sasa mungu wenu sasa hivi wanajadiri kuweka ushoga kwenye mfumo kristo. What kind of religion is? Ni kuelewa tu ni usherani na udhalimu si swala la kudiscuss katika dini. U can't accept that stupid discussion. Dini ina misingi na haibadilishwi ndio Allah anayoitaka kila muislam afuate. Sio Leo papa Au mchungaji akitaka wamle anasema dini Uruhusu na ibcapability ya waumini wanakubali. That's stupidity....... Kijana labda kwa kukuelimisha hamna dini inayoitwa ukristo duniani hiyo ni mifumo ya kikafiri tu na huwa wanawashika watu waliokosa kufikiri ndio maana hata makanisani hamuruhusiwi kuuliza maswali. Raha ya uislam tunajadilieverithing transparent.... Ndio maana nasema inna din mina llah illah Islam. Hamna dini mbele ya mwenyezi mungu isipokuwa uislam. Huyo ndio neema ya kwanza tuliokuwa nayo. Ungewezekana nungekutafuta nikuelimishe nahakika ungeelewa uuslam na ungeelewa mlivyopotea. In either ways maana nimesoma dini yangu, ufirauni wa kikristo na elimu ya sinus pia
 
Chuki, kebehi na matusi yako haviniathiri kwa sababu havibadirishi UKUU na UKWELI kuhusu Mungu - Yahweh

Wewe mungu wako ni nani? Maana allah ni shetani kama ulivoona hapo juu. Rudi kwenye mada upinge maandiko ya kuruani kwamba allah ni shetani!.

Mungu wako yupi,yule seremala aliedhalilishwa kwa kipigo cha paka mwizi na kuachwa na pampers msalabani?

Mungu mdoli (mapambo ya kanisani)

Au yule mwenye ahadi za uongo kuwa atarudi halafu amepotea njia ya kurudi duniani?

Hahahahahahaaaaa...
 
Leta andiko hapa kwamba Kristo aliidhinisha ushoga (usimtwishe lawama kwa dhambi za watu Christo hayuko vile na hatakuwa vile kwa kuwa Yeye ni Mtakatifu sana. Mimi ninakupa mistari michache hapa inayosema kutoka kwenye Quran kwamba allah ni shetani!. Hakuna haja ya kutukana matusi unless hata matusi ni ibada kwa allah.

Moja wapo inayoonyesha kwamba allah ni shetani hii hapa uisome na uikane si makelele ya kienda wazimu.


https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...6IQ7lJYY0kdtZEyog&sig2=4mwuxSATGkusNNMvRNN5Jw


https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...m5YovdUk8nhfGpIlg&sig2=jzEJh2zrHpeaqcNQVscBLg

https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...Ieoe0IDt7fNdgDsLw&sig2=_oBCLED3tNe8_2Oo_InTDA



https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...sB90_yG8EaKzPUf-w&sig2=1HelGIAm18JKHgn2X0L9zA

https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...X9CaiYfinNNkhFicQ&sig2=2AT-4K4g7S9xkaLf3g_kxA


HAYO HAPO YOTE YANATHIBITISHA KWAMBA ALLAH NI SHETANI. Leta ya kwako sasa yanayosema Yesu Kristo aliidhinisha ushoga. Na usisahamu tabia ya ushoga ilianzia Iraq, hadi Mungu akawachoma wazima wazima!.


Hahahaaa kijana inaonesha hata analysis hujui... Lakini ndio ukristo ulivyowafanya mshindwe kuhoji (difficiency in critical thinking). In simple think mungu lazima awe na msimamo lazima awe anajua nini anataka. Sasa mungu wenu sasa hivi wanajadiri kuweka ushoga kwenye mfumo kristo. What kind of religion is? Ni kuelewa tu ni usherani na udhalimu si swala la kudiscuss katika dini. U can't accept that stupid discussion. Dini ina misingi na haibadilishwi ndio Allah anayoitaka kila muislam afuate. Sio Leo papa Au mchungaji akitaka wamle anasema dini Uruhusu na ibcapability ya waumini wanakubali. That's stupidity....... Kijana labda kwa kukuelimisha hamna dini inayoitwa ukristo duniani hiyo ni mifumo ya kikafiri tu na huwa wanawashika watu waliokosa kufikiri ndio maana hata makanisani hamuruhusiwi kuuliza maswali. Raha ya uislam tunajadilieverithing transparent.... Ndio maana nasema inna din mina llah illah Islam. Hamna dini mbele ya mwenyezi mungu isipokuwa uislam. Huyo ndio neema ya kwanza tuliokuwa nayo. Ungewezekana nungekutafuta nikuelimishe nahakika ungeelewa uuslam na ungeelewa mlivyopotea. In either ways maana nimesoma dini yangu, ufirauni wa kikristo na elimu ya sinus pia
 
Nijuavyo mimi bongo hatuna mpango wa kadhia hvyo mahakama ya kadhi syo priority.. Kwani znz inawasaidia nn hyo kadhia?
 
Ninajivunia sana kifo cha Yesu mtini. Kwangu ni FAhari kuliko fahari zote. Wewe unajivunia kipi?

Unashindwa kumtabua Yesu Kristo wakati hata shetani mwenyewe allah anamtambua na kumwogopa kiaina? Hebu Soma hapa:-

Numerous titles are given to Jesus in the Quran and in Islamic literature, the most common being al-Masīḥ ("the Messiah"). Jesus is also, at times, called "Seal of the Israelite Prophets", because, in general Muslim belief, Jesus was the last prophet sent by Godto guide the Children of Israel. Jesus is traditionally understood in Islam to have been a precursor to Muhammad, and is believed by Muslims to have foretold the latter's coming; however, according to Muslim scholars this prophecy is in the Chapter Al-Saff verse six.[SUP][6][/SUP]
Jesus is unique for being the only prophet in Islam who neither married nor had any children.[SUP][7][/SUP] Muslims believe that Jesus will return to earth near the Day of Judgment to restore justice and to defeat al-Masih ad-Dajjal ("the false messiah", also known as the Antichrist).[SUP][8][/SUP][SUP][9][/SUP] Jesus will not return as a new prophet; Muhammad was the final prophet, but will continue from where he left off at the time of his ascension.[SUP][10]

[/SUP]
[SUP]Wewe unasali uislam wa wapi usiomtambua Yeshua?[/SUP]



Mungu wako yupi,yule seremala aliedhalilishwa kwa kipigo cha paka mwizi na kuachwa na pampers msalabani?

Mungu mdoli (mapambo ya kanisani)

Au yule mwenye ahadi za uongo kuwa atarudi halafu amepotea njia ya kurudi duniani?

Hahahahahahaaaaa...
 
Serikali haina dini.Ni bora isijihusishe kabisa na mambo haya kabla hatujachelewa
 
Akili za kijinga kweli hizi. Kwani nchi zote zenye mahakama ya kadhi zinashamiri vitendo vya kigaidi? Kumbuka ugaidi wa Kenya hautokani na wakenya wenyewe bali kutokana na uamuzi wa nchi hiyo kupeleka majeshi huko Somalia. Hata magaidi wanapolipua huko Kenya mara zote hukimbilia kutamka kuwa wanataka serikali ya Kenya kurejesha majeshi yao vinginevyo wataendelea kuishambulia

Ndo waue watu wasio na hatia!

Kuna dini nyingine zina misingi ya kishetani!
 
Hahaaaaa, eti Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu, ama kweli wajinga ndio waliwao! Poleni kwa kuingizwa choo cha kike na Muddy.
 
Waislamu tumedhulumiwa sana na makafiri lazima kadhi itamkwe kwenye katiba, makafiri wametudhulumu haki ya kuchinja vitoweo tumekaa kimya bado tena kadhi nayo wanataka kutudhulumu hapana hatukubali aiseee hii nchi si ya makafiri pekee kwanza uhuru wamepigania waislamu kafiri Nyerere akawadhulumu.
 
Waislamu tumedhulumiwa sana na makafiri lazima kadhi itamkwe kwenye katiba, makafiri wametudhulumu haki ya kuchinja vitoweo tumekaa kimya bado tena kadhi nayo wanataka kutudhulumu hapana hatukubali aiseee hii nchi si ya makafiri pekee kwanza uhuru wamepigania waislamu kafiri Nyerere akawadhulumu.

Mbona mnashindwa kujenga hoja na kubaki kuwapazia watu matusi yasiyo yao, nyerere hajawah kuwa kafir akikuwa mkristo kwan Yesu mwenyewe akiuawa na makafiri, kama ni hivyo hata waislam bac ni makafiri kwa wakristo...

Suala ka iman linapasa watu wajiamin kwan uislam ama ukristo haukuingizwa na mtu ni ama maamuz yako ama ya baba yako

na tuamini kuwa Mungu hasaidiwi na katiba za nchi, Mungu anabakikuwa Mungu tuu hata kama hayupo kwenye katiba...

halaf hili la mahakama ya kaz kwa kigezo eti MOU ya kanisa na serikali mimi nimejaribu kuiangalia kwenye katiba ikiyopo hiyo MOU ya wakristo na serikali sijaiona,

hiv kwa nini waiskam nao wasifanye MOU yao nje ya katiba kwani mamboyao ni mpaka yawe kwenye katiba?, wao wakutane na waziri akiona suala linatija bas akiingize kwenye makubaliano ila siyo katiba iseme

mi nadhan tatizo ni shule, kuna watuwenhisana hapa hawajajua uzito wa jatiba ya nchi so wanadhan katiba ni kijitabu tuu, hiki ni kitabu cha mfumo wa nchi na ndiyo mwongozo wa nchi na ndiyo maana hata hao wakristo hawakuweza kupeleka hiyo MOU yao bungeni eti iingie kwenye katiba...

Tuaxhe jazba, matusi na kejeli kisa tu ya kutaka matakwa yetu yatimize, nu bora kujiamin na kuishi kwa amani kwan hii nchi ni yetu sote..

Mbarikiwe
 
Wacha kukariri ndugu. Sio zama zile za mwanzo tulipokuwa hatutaki kujua mambo yenu ya giza

Kipi ni giza? Manake hizi chuki dhidi ya uislam zinapandikizwa makanisani siku hizi.. Any way embu weka wazi kipi ni giza? Tatizo n nn hasa?
 
hiki ni kitabu cha mfumo wa nchi na ndiyo mwongozo wa nchi na ndiyo maana hata hao wakristo hawakuweza kupeleka hiyo MOU yao bungeni eti iingie kwenye katiba..
Mkuu hili ulilosema ni ujumbe muruwa.
Wakristo wajiandae kupeleka muswada wa MOU bungeni.Shule zote zilizotaifishwa zirejeshwe na fidia pia.
 
Leta andiko hapa kwamba Kristo aliidhinisha ushoga (usimtwishe lawama kwa dhambi za watu Christo hayuko vile na hatakuwa vile kwa kuwa Yeye ni Mtakatifu sana. Mimi ninakupa mistari michache hapa inayosema kutoka kwenye Quran kwamba allah ni shetani!. Hakuna haja ya kutukana matusi unless hata matusi ni ibada kwa allah.


HAYO HAPO YOTE YANATHIBITISHA KWAMBA ALLAH NI SHETANI. Leta ya kwako sasa yanayosema Yesu Kristo aliidhinisha ushoga. Na usisahamu tabia ya ushoga ilianzia Iraq, hadi Mungu akawachoma wazima wazima!.

Nyinyi si mnasema mmesamehewa dhambi zenu zooote! mpaka USHOGA kwa kuwa yesu amebeba dhambi zenu.
 
Back
Top Bottom