Recent content by MX2

  1. M

    May 2016 bless me with a husband!

    Ushauri wa nguvu za giza. Yule Muovu! Shetani! Na kashakuteka.
  2. M

    Nataka kuanza kwenda kanisani

    We ndugu unamtafuta Mungu au kanisa, maana nasoma tu unavyojitetea na kujikweza na kudhani wewe ni special sana hivyo unataka kuwa pale unapodhani waumini ni watakatifu tayari. Anza kusali kwanza hapo nyumbani kwako. Mungu hajatupatia kazi ya kukutafutia kanisa bali kusali na kuwapokea...
  3. M

    Manyanya: Mtoto hajui Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, Mwalimu Mkuu kazi huna

    Haya matatizo ya kunywa pombe mchana.
  4. M

    Ninadaiwa kodi ya nyumba na sina kazi kwa sasa, msamaria mwema nisaidie

    Kama una ari ya kumsaidia tumsaidie. Ni wangapi wanatutapeli na tunajua wanatutapeli ila hatuna cha kufanya? Kama uko Dar wawezaonana nae ujiridhishe, hofu ikutoke.
  5. M

    Hatimaye amechukua maamuzi magumu kama alivyokuwa ameniahidi

    Tena una bahati sana! Yaani na ujinga ulioufanya bado wanajitolea kukuita unajifanya upo busy? Kweli tahira huwa halogwi!
  6. M

    Hivi kwanini wasichana wengi warembo hawapendi kula ugali?

    nadhani kwa hili jibu harudii tena kutaja majina ya watu.
  7. M

    Mshikaji ameoa kahaba tuliekua tunamnunua wote

    kwa hii post yako sina haja ya kuchangia wala kuendelea kusoma wacha nikapumzike.
  8. M

    Binti yangu kakua, na mama yake tumeishaachana, Je nitamsaidiaje?

    Miss Chagga mmegombana na huyu ndugu?
  9. M

    Mwanamke usikubali kujenga mahusiano na mwanaume wa aina hii maana atakuumiza tu

    Upo vizuri, ingekuwa wanawake wote wanawaza hivyo ningekuwa nimeshaoa!
  10. M

    Ana mchumba, lakini amepata ujauzito wa mwanaume mwingine

    Na unajiita Good Hearted! Ndiyo maana siku hizi hatuoni wa kuoa. Yaani we na rafiki yako akili zote ni sawa. Huyo mwenzio kamwe hatakuja kuwa mke mzuri hata kama atalazimisha ndoa. Nyie ndiyo wale mnaoua waume zenu kwa sababu mmeshazoea kuua kabla. Nawaonya kwa ukali kwa sababu siku hizi...
  11. M

    Makadinali, Maaskofu na viongozi wa Kanisa Katoliki kujadili kuhusu suala la talaka

    Usiwe na mawazo ya kinyonge hivyo Mkuu, fanya kazi, somesha wanao(kama unao) wafundishe kujiamini uone kama hawatakuwa watu wakubwa duniani. Tatizo siasa unaweka mpaka kwenye imani, lengo la Kanisa Katoliki ni watu waishi wakimtegemea Mungu na kisha baada ya kifo wamuone kama alivyo mbinguni na...
  12. M

    Makadinali, Maaskofu na viongozi wa Kanisa Katoliki kujadili kuhusu suala la talaka

    Ni dhambi ngapi unazo wewe? Haujapishana na huyo shoga kutenda dhambi ila tu za kwako hujatangaza. Think big!
  13. M

    Makadinali, Maaskofu na viongozi wa Kanisa Katoliki kujadili kuhusu suala la talaka

    Wewe ni mkatoliki jina na uliyoyaandika yanakushuhudia. Nenda kwenye mtandao wa kanisa (News.va) au Radio Vatikani(habari ni kwa kiswahili) usome vizuri na uelewe. Uovu hauzuiwi kwa kuukimbia au kujifanya haupo, bali kuwasaidia hawa ndugu ili wapone na kumrudia Mungu. Yesu hakuja kuhukumu na...
  14. M

    Laiti ningekua mwanaume...

    Upo sawa kwa kiasi kikubwa mpendwa, Mungu akuzidishie hekima kuwashauri na wengine.
  15. M

    Slow Love Songs Fans

    Na hapa zimekaaje wakuu? - Shanice- saving forever for u. -Surface- shower me with ur love. -George Strait-I cross my heart. -Whitney H.-where do broken heart go. -Force MD's- tender love!
Back
Top Bottom