Recent content by mwombeki5

  1. mwombeki5

    Nina tatizo la kuwaambukiza wanawake UTI

    hao mademu ndo walikuwa na UTI na siyo wewe! ila upo kwenye harakati za kupata UKIMWI,maana inaonesha unapenda kutembelea rimu(rosti)
  2. mwombeki5

    Vumbi la kongo

    ngoja nikae kiti cha mbele nisubirie watumiaji watusimulie Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mwombeki5

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Kiukweli Mhe Makonda kaonesha njia na kutusaidia kujua kuwa katika jamii yetu kumbe hali ipoje na kama hatutachukua hatua nini kitatokea mbele,hao wanao lalamika wajiulize nini wamefanya katika kutatua shida za wananchi wao katika maeneo yao! yeye amefanya kwa upande wake na wao wafanye nasiyo...
  4. mwombeki5

    Eti niolewe na mfuga kuku. Loh!!!

    Mfuga kuku ana pesa kuliko hata wafanyakazi wengi tu,sema wewe umekariri! ebu fikria anapata trai nne za mayai,trai moja elfu 15,sasa elfu 15x4=60000tsh per day,kwa mwezi ana milioni na laki nane! hapo dharau inatoka wapi?
  5. mwombeki5

    Msaada shule zinazomilikiwa na jeshi tanzania

    Kizuka sec ipo morogoro,ukifika ubena zomozi utaona shuka hapo ulizia vigari vinavyoenda ngere ngere,vitakupeleka mpaka hapo,au kama una gari binafsi ukifika ubena ulizia barabara ya kwenda kizuka sec,lakini pia kuna bango lao
  6. mwombeki5

    Mrejesho ,Nimeagiza Gari from Singapore

    Tuwekee picha na kisha tupatie website yao ili tucheck pia
  7. mwombeki5

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    weka namba za simu ili mtu akihitaji gari akutafute kaka
  8. mwombeki5

    Jiondoe kwenye adha ya kupaka rangi kila mara kwa kutumia materials hizi

    Naomba ushauri nitumie nini kukabiliana na unyevu kwenye nyumba yangu? Eneo langu lina hali ya maji,hivyo kila nikipiga rangi zinabanduka,wanadai ardhi ina unyevu unyevu.msaada kwa wataalam wa ujenzi.asante
  9. mwombeki5

    Ushauri: Aliniambia hanipendi anani 'enjoy', sasa katuma SMS anaumwa

    Mpe pole alafu mwambie aende hospital ndo watajua anaumwa nini?
  10. mwombeki5

    Happy Birthday to 39-year-Old Halima Mdee

    Happy birthday Dada, ila Fanya mpango upate mtoto umri unaenda!
  11. mwombeki5

    Natafuta mume mwenye umri kati ya miaka 33-36

    Vipi haudaiwi na bodi ya mikopo?
  12. mwombeki5

    Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

    We msubiri wakati wa likizo maana uko yupo na mwenzio anayemsaidia matumizi ya chuo
  13. mwombeki5

    Issue ya kupunguza ada kwa shule binafsi (private schools) ni ya kweli?

    Bado hazijapunguzwa maana leo nimempeleka mtoto shule nimelipa kama kawaida
Back
Top Bottom