Kiukweli Mhe Makonda kaonesha njia na kutusaidia kujua kuwa katika jamii yetu kumbe hali ipoje na kama hatutachukua hatua nini kitatokea mbele,hao wanao lalamika wajiulize nini wamefanya katika kutatua shida za wananchi wao katika maeneo yao! yeye amefanya kwa upande wake na wao wafanye nasiyo...
Mfuga kuku ana pesa kuliko hata wafanyakazi wengi tu,sema wewe umekariri! ebu fikria anapata trai nne za mayai,trai moja elfu 15,sasa elfu 15x4=60000tsh per day,kwa mwezi ana milioni na laki nane! hapo dharau inatoka wapi?
Kizuka sec ipo morogoro,ukifika ubena zomozi utaona shuka hapo ulizia vigari vinavyoenda ngere ngere,vitakupeleka mpaka hapo,au kama una gari binafsi ukifika ubena ulizia barabara ya kwenda kizuka sec,lakini pia kuna bango lao
Naomba ushauri nitumie nini kukabiliana na unyevu kwenye nyumba yangu? Eneo langu lina hali ya maji,hivyo kila nikipiga rangi zinabanduka,wanadai ardhi ina unyevu unyevu.msaada kwa wataalam wa ujenzi.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.