Faru Juma
Member
- Mar 11, 2018
- 31
- 25
Habari zenu wadau, sinaga maneno naenda kwa point moja kwa moja.
Mimi mwenzenu kuna jambo linaniumiza kichwa nashindwa kuelewa, nimepitia katika mahusiano na wanawake wengi (30+) shida ni kuwa kila dem niliepita nae ilikua lazma augue UTI katika hatua ya mwanzo ya mahusiano.
Nikimpeleka hospital anakutwa na maambukizi, mimi sikutwi nayo. Akipewa tiba tukirud haipiti hata wiki mbili lazima ugonjwa umrudie tena.
Naombeni msaada wa mawazo kwa wale wenye uelewa juu ya hili janga pia kwa wahanga wenzangu ushuhuda unahusika.
Nawasilisha
Mimi mwenzenu kuna jambo linaniumiza kichwa nashindwa kuelewa, nimepitia katika mahusiano na wanawake wengi (30+) shida ni kuwa kila dem niliepita nae ilikua lazma augue UTI katika hatua ya mwanzo ya mahusiano.
Nikimpeleka hospital anakutwa na maambukizi, mimi sikutwi nayo. Akipewa tiba tukirud haipiti hata wiki mbili lazima ugonjwa umrudie tena.
Naombeni msaada wa mawazo kwa wale wenye uelewa juu ya hili janga pia kwa wahanga wenzangu ushuhuda unahusika.
Nawasilisha