Recent content by Mwisawa

  1. M

    Mama Salma, Ally Kessy wapinga wanafunzi waliopata mimba kurudishwa shuleni, wasema dini haziruhusu

    Utapataje mimba kabla ya wakati we mama Salma? Ukipata mimba ujue umeshafikia wakati na maumbile yanaruhusu. Acha ujinga bhana, unatakajesasa wewe?
  2. M

    Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

    Kuna dalili ya mtu kupandishwa cheo haraka sana. Tihitihi teheteheee
  3. M

    Baba wa Obama sio yule Obama mkenya

    So what? Nonsense!
  4. M

    Kwanini habari za Mgombea Urais wa CHADEMA zinaonekana kuwagusa makundi ya watu wengi?

    wi kweli kabisa hata mimi nimeshuhudia hili!
  5. M

    Kabla hujapiga kura kwa Magufuli, Tafadhali soma andiko hili, Japo laogopesha kidogo

    Inasikitisha: kama Magufuli ni waziri ambaye hajafeli katika utendaji wake kama 'mnavyodai' basi elewa kuwa ccm na serikali yake imeoza kuliko tunavyiona na kuikisika: - Magufuli huyu ndiye ameingiza serikali katika hasara ya trln 1.6 ya meli aliyoikamata kwa kukurupuka. - Ndiye huyu Magufuli...
  6. M

    PICHA: Wananchi wa Musoma Wakijitolea Kuosha Gari la Lowassa

    Kama kweli Lowassa alikuwa mhusika mkuu wa Richmond basi ndg yangu elewa kwamba ccm haifai kuongoza nchi hii hata kwa masaa kadhaa! Walishindwaje kumchukulia hatua mtu mmoja tu hata baada kujiuzulu? Uongozi wa serikali ya ccm ni dhaifu sana hata kuendesha vizara moja kwasababu waliogopa...
  7. M

    PICHA: Wananchi wa Musoma Wakijitolea Kuosha Gari la Lowassa

    Kama kweli Lowassa alikuwa mhusika mkuu wa Richmond basi ndg yangu elewa kwamba ccm haifai kuongoza nchi hii hata kwa masaa kadhaa! Walishindwaje kumchukulia hatua mtu mmoja tu hata baada kujiuzulu? Uongozi wa serikali ya ccm ni dhaifu sana hata kuendesha vizara moja kwasababu waliogopa...
  8. M

    PICHA: Mara Yamkabidhi Lowassa Hati ya Ushujaa Uliotukuka

    EN LOWASSA you are my next president!
  9. M

    Spensa Lameck achukuliwe hatua kwa kupotosha UMMA, Lowassa sio Mkombozi wa Tanzania ijayo

    sasa na wewe hapo akemewe kwa kosa gani au ni chuki binafsi?
  10. M

    Lowassa, maji ya shingo

    YOU seriosly NEED A CHECK UP FROM THE NECK-UP.
  11. M

    Mgombea Ubunge CCM Vunjo: Kina Mbatia na UKAWA walitaka kunipa 250,000,000 nijitoe

    Hana lolote huyo jamaa, mwongo kabisa!namfahamu vizuri sana!
  12. M

    Mkutano wa Lowassa wadoda ile mbaya

    kanyonye shaft ulale bwegetu!
Back
Top Bottom