Inasikitisha:
kama Magufuli ni waziri ambaye hajafeli katika utendaji wake kama 'mnavyodai' basi elewa kuwa ccm na serikali yake imeoza kuliko tunavyiona na kuikisika:
- Magufuli huyu ndiye ameingiza serikali katika hasara ya trln 1.6 ya meli aliyoikamata kwa kukurupuka.
- Ndiye huyu Magufuli...
Kama kweli Lowassa alikuwa mhusika mkuu wa Richmond basi ndg yangu elewa kwamba ccm haifai kuongoza nchi hii hata kwa masaa kadhaa!
Walishindwaje kumchukulia hatua mtu mmoja tu hata baada kujiuzulu?
Uongozi wa serikali ya ccm ni dhaifu sana hata kuendesha vizara moja kwasababu waliogopa...
Kama kweli Lowassa alikuwa mhusika mkuu wa Richmond basi ndg yangu elewa kwamba ccm haifai kuongoza nchi hii hata kwa masaa kadhaa!
Walishindwaje kumchukulia hatua mtu mmoja tu hata baada kujiuzulu?
Uongozi wa serikali ya ccm ni dhaifu sana hata kuendesha vizara moja kwasababu waliogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.