Lowassa, maji ya shingo

Lowassa, maji ya shingo

Mkiambiwa ukweli siku zote mnahamaki na mitusi, je, matusi yanaweweza kubadili ukweli ukageuka kuwa uongo? Mwingine anathubutu kusema eti ccm itashinda kwa kura za kutoka wapi, mbona ujiulizi huo utitiri wa watu wanaovaa nguo za chama na kujaza mikutano ya ccm wanatoka wapi? Au unadhani wanatoka nchi jirani? Ni kweli mabadiliko yangetarajiwa kutoka ukawa lakini kwa bahati mbaya yenu wengi tumeishastuka kuwa mabadiliko ya kweli yataletwa na JEMBE, TINGATINGA MAGUFULI.

kutegemea mabadiliko kupitia ccm ni uwendawazimu....
 
CCM NI ILE ILE TENA NI ILE ILEEE
Wameshindwa kuimarisha na Kuwa na Umeme wa uhakika zaidi ya miaka 50 !! Kweli ni ile ile.

Wameshindwa kuimarisha kilimo cha uhakika na kisasa ili kujenga uchumi Imara zaidi ya kuanzisha kauli mbiu za kifisadi eti Kilimo kwa wakati hakuna export hata Ndege moja kwa mwezi kwenda nje kibiashara , hebu chungulia hapo Nairobi Airport uone mamboz !! TAFAKARI

Wameshindwa kutoa huduma bora ya afya zaidi ya mika 50 , kina mama wana lala mzungu wa nne hospital. Kweli ni ile ile !!

Mchango ya madawati kila siku elimu taabani baada ya miaka 50 ! NDUGU TAFAKARI.

Ufisadi kila kona, kweli ni ile ile !

Wasalaam !

Umeme mlaumu lowasa
Alikula pesa yoye ya umeme mwaka 2008
 
Tatizo la kuleta mada ukiwa chooni unasahau kuchamba...
 
Na ivi sasa ukiuangalia ukawa kama unaakili inayofanya kazi vizuri utagundua kunakitu hakiko sawa sababu utamuona lowasa tu yule mwenzie hayoko tena. (duni) anasikika kwa kukatakata.

Huyo mama Samia mmemtelekeza kabisaa sijui mfumo dume utawapeleka wapi!
 
Mnajisumbua tu presidar ni lowassa tu hata demu wako jana aliniambia atampigia lowassa ss kura zote hizo tunashindwaje?
 
Mgombea wa urais kupitia Chadema amezidi kupata wakati mgumu, hasa baada ya maelfu ya wana CHADEMA kuendelea kukimbia chama hicho na kujiunga na CCM.

Hata hivyo, bado maelewano yake na mgombea mwenza wake yamekuwa ni madogo, hali inayozidi kudhoofisha uwezo wake.


Labda kumedhoofika kwa mamayo na babayo tu!
 
Mgombea wa urais kupitia Chadema amezidi kupata wakati mgumu, hasa baada ya maelfu ya wana CHADEMA kuendelea kukimbia chama hicho na kujiunga na CCM.

Hata hivyo, bado maelewano yake na mgombea mwenza wake yamekuwa ni madogo, hali inayozidi kudhoofisha uwezo wake.

YOU seriosly NEED A CHECK UP FROM THE NECK-UP.
 
Back
Top Bottom