Sikatai kwamba umedoda ivi huo mkutano illikuwa ni wapi? maana naona
kama ni kikao cha famili ivi
Ni kweli but wanamweleza mkuu jinsi twiga wanavyopanda ndege..!!
Sikatai kwamba umedoda ivi huo mkutano illikuwa ni wapi? maana naona
kama ni kikao cha famili ivi
Hii tabia ya kupiga picha jukwaa pekee na kutudanganya mkutano umedoda kamdanganye mkeo ila kama unae nitashangaa sana!
.................
Hata Mimi nilitaka nimuulize hivyo kwamba angesema hapo ilikuwa ni wapi na ni lini Lowassa alifanya hicho kikao isije ikawa huyu jamaa analeta picha na habari za miaka minne iliyopita akasema ni kampeni ya ukawaSikatai kwamba umedoda ivi huo mkutano illikuwa ni wapi? maana naona
kama ni kikao cha famili ivi
Hii tabia ya kupiga picha jukwaa pekee na kutudanganya mkutano umedoda kamdanganye mkeo ila kama unae nitashangaa sana!
aibu juu yako ila umejibiwa vizuri,mkutano wa leo haijawahi kutokea arusha kamfunika makofuli mara 90
Hii tabia ya kupiga picha jukwaa pekee na kutudanganya mkutano umedoda kamdanganye mkeo ila kama unae nitashangaa sana!