Labda huwezi jua!jamaa wanatangaza photo shop kwa propaganda.
swissme
Uko sawa hapo, Lakini Kama ni Kweli, basi dunia hadaa!Hili Halina Uzito Tena Kwa Maana Moja Tu
Hata Ikiwa Alisingiziwa Ama Laa !!
Kwakuwa Mwenyewe Kasema Baba Yake Mkenya Safi Tu
DNA test inasemaje? Maanake hata uzushi ni kazi pia japo haina mshahara.bora umekiri mwenyewe kuwa si habari muhimu
Hizi conspiracy theories ziko very common in the USA
its really crappy
HUkawii kuambiwa Hilary Clinton ni pacha wa Trump
Ni Kweli hizi Conspiracy ni nyingi na za Ovyo Lakini Nyingine zina Ukweli, Ila Main streem Media wakishapangua habari hatakama inaukweli ukiizungumzia Unapuuzwa. Iwapo Mwanamke akimdanganyia Mtu mtoto tangu akiwa Mimba hata cheti kitasema Uwongo. Mimi siamini Conspiracy ila Kuwa Jamaa aliishi nao, Anafanana na Mtoto Kupindukia, Alimpiga Mama yake Obama Picha za Utupu enzi hizo huku akiwa ni Baba wa kambo wa binti huyo, Kaka yake Obama Mwenyewe anaonekana Kuamini. Imenifanya Nishangae.