Recent content by Mwinyigogo

  1. M

    Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

    Amemualika kama Muislamu au kama Rais wa Tanzania?
  2. M

    Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

    We ms***nge kuolewa ndio ukahaba!! Bora ungesema unapinga ndoa za utotoni
  3. M

    Israel itapeleka Ukombozi Iran, Iraq, Syria na hata Jordan

    Ili wawe mashoga ndio ishara ya kuwa huru!! Amka ww Dunia haitakuwa hivyo hata siku moja
  4. M

    Beirut iliitwa Paris ya Middle East hadi hapo itikadi kali walipoiharibu Lebanon

    Hujafika America kusini. Nenda El salvador,Columbia,Bolivia, Brazil na tena huko ni ukatoliki kwenda mbele. Ukaone maasi watu wanavyouana
  5. M

    Tetesi: TANESCO 'kwazizima' Makamba kuhamishwa Nishati. Waendelea na 'mfungo'

    Kama sababu ni kufutwa kwa safari basi wenyewe ndio tatizo
  6. M

    Mtu binafsi anaweza kumiliki nyumba ya ibada?

    Miskiti kama jengo ipo mingi ila sio madhehebu,wakati kwa upande wa pili kanisa binafsi ni madhehebu na jengo
  7. M

    Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Nenda South America uone hilo kanisa lako lilivyooza
  8. M

    Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

    Unatafutaje kitu ambacho unajua hakipo. Nyie hamna cha kuvalidate
  9. M

    Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

    Kwani wenyewe hoja yao ni mkataba kuvunjwa which hicho kitu hakiwezekani. Kama maboresho walishajibiwa yatafanyika.Hoja zao ni maoni kama maoni ya wengine sio masharti
  10. M

    Waislam tuache kupambana na TEC,mbaya wetu huyu hapa

    Msitulazimishe kuwaunga mkonokwenye mambo yenu wakati ya kwetu mengi hamjawahi kutuunga mkono.Kama mkataba utawaathiri maslahi yenu pambane kivyenu.Hamjawahi kutupenda wala hamtatupenda
  11. M

    Watu wa Tanga nawaita hapa

    Duh nimetoka Tanga mwaka 2003 mpaka leo naona malalamiko ni hayo hayo tatizo ni nini? Au Siasa !!!
  12. M

    Hivi siku hizi watu hawawezi kufunga ndoa bila michango?

    Kuna dogo mmoja nilisoma nae ,alichangisha michango kwa ajili ya harusi yake. Siku mbili baada ya harusi akanipiga mzinga wa 50,nikamwambia dogo acha usen... kulikuwa na haja gani ya kujitutumua kwenye Sherehe sasa!!!
Back
Top Bottom