Recent content by mwinjilisti luka

  1. mwinjilisti luka

    Imethibitika mabaki yaliyookotwa Pemba ni ya Air Malaysia, Mvuvi aliyeokota azawadiwa Milioni mbili

    Jadili Hoja iliyoko mezani, weka ufahamu wako kuhusu Hoja ya bawa la ndege Kuhusu mke wangu, mwanaume yoyote aliekamilika kukutana na matatizo ni sehemu ya maisha, hivyo kuandika ulivyoandika usijione mjanja, ni sawa na kumcheka mtu aliefiwa, mwenye kilio nyumbani kwake, maana yote hayo ni...
  2. mwinjilisti luka

    North Korea fires ballistic missile into Japanese waters

    Ni nchi ngapi ambazo marekani ameshazivamia na urusi wala China hawakwenda? Sijaelewa kwa nn sasa hivi jukwaa hili Kuna mazungumzo sana ya kuzipandisha hadhi Russia na China, hadhi ambayo hawastahili, hawa wawili bado ni regional powers, in any way hawawezi ku risk direct confrontation na...
  3. mwinjilisti luka

    Imethibitika mabaki yaliyookotwa Pemba ni ya Air Malaysia, Mvuvi aliyeokota azawadiwa Milioni mbili

    Kupatikana kwa sehemu mbali mbali za mabaki ya ndege hiyo sio news tena mkuu, mabaki ya ndege hiyo yameshapatika sehemu mbali mbali ikiwemo kisiwa cha reunion, karibu na sheli sheli, pia Mozambique, kinachotafutwa kwa hamu kubwa sasa ni black box, ikipatikana hiyo ndio itakua news Tatizo ni...
  4. mwinjilisti luka

    Serikali yaanza kupinga hukumu Sheria ya Ndoa kwa watoto wa kike juu umri sahihi wa kuolewa

    Ok, wengi tunachanganya mambo, iko hivi, hakuna mtu anafungwa let say kwa kutembea na binti wa 15, 16, 17 ambae hasomi Shule, huenda alimaliza la saba lakini hakufaulu kwenda secondary na yupo beyond 14 ina maana yupo mtaani tu Sana sana, ukifuatilia kesi za namna hiyo utaona wengi...
  5. mwinjilisti luka

    Serikali yaanza kupinga hukumu Sheria ya Ndoa kwa watoto wa kike juu umri sahihi wa kuolewa

    Serikali ipo sahihi, Hapa serikali inazungumzia binti ambae hayupo shuleni, huenda alifeli au aliishia la saba, hana sababu yoyote ya kutoolewa iwapo Mchumba amepatikana, kinyume chake vijana watampiga mimba na atazalia nyumbani na kuwa mzigo kwa wazazi wake na taifa
  6. mwinjilisti luka

    Nimegundua mchezo mchafu wa mke wangu

    Wapendwa hamjambo? Mke wangu ni mhudumu wa hotel katika hotel ya kitalii, huwa anahamishwa kulingana na shift, siku nyingine kwenye mgahawa wa hotel hiyo na siku nyingine anakua kwenye vyumba. Mimi ni mtu wa IT, ndoa yetu ina miaka miwili sasa na mtoto mmoja tuna mgogoro ambao umejitokeza wiki...
  7. mwinjilisti luka

    Wanawake mna nini na wanaume hawa?

    Yaani Yale maisha ya maigizo ndio yanawavutia? Hii kali kwa kweli, nimeelewa kwa nn wanawake huwa wanaingizwa sana mkenge kiuraisi tu
  8. mwinjilisti luka

    Is my wife dating someone else?

    If you say yes to question A then question b looses meaning, and if you say NO to question A then an answer to question B should be YES
  9. mwinjilisti luka

    Is my wife dating someone else?

    Yes to question no?
  10. mwinjilisti luka

    Is my wife dating someone else?

    Kwa hiyo unafundisha ujanja wa kusaliti ndoa
  11. mwinjilisti luka

    Is my wife dating someone else?

    Ndingi mwana nzeki, wajanja wameshatafuna huyo
  12. mwinjilisti luka

    Hivi ni kweli CHADEMA (UKAWA) hakuna wazee?

    Wazee wa ccm sio ndio waliotafuna hii nchi hadi ikawa hivi au?
  13. mwinjilisti luka

    Mapenzi yanauma jamani

    Utapata mwingine
Back
Top Bottom