Mkuu we unaongelea vita iliyotokea miaka 70 iliyopita enzi hizo computer zipo chini ya tano dunia nzima na zina size kubwa ka nyumba. Korea ya kaskazini ni nchi moja maskini tu ambayo imepoteza hela yake yote kwenye military, GPD yao yenyewe ni $40Billion, yaani hadi Tanzania inaGPD zaidi ya mara tatu, thats not enough money ya kutisha taifa kama US ambalo linamwaga $600B kila mwaka kwenye military alone, hiyo ni mara 15 ya gdp ya NK inaenda kwenye military peke yake. Vita ikitokea there's no way South Korea itachapwa, one reason they are very strong, wana military si mchezo, kwa kua huwasikii usiwa~underestimate hawa jamaa, wana defense na attack systems decades ahead ya systems walizonazo north korea, hizi ballistic missiles wanazorusha to almost 1000Km sio kitu kama mass yenyewe wanayobeba ni ndogo, they can simply be put down kabla hazijafika popote, angalia Israel na Palestine walivyokua wanapigana missles za palestine zilizovyokua zinaangushwa utadhani wanacheza kombolela, sababu nyingine South Korea ina msaada wa US, US iko tayari kuwa~back down any time. There's no way North Korea atafanya chochote, ni majigambo tu, na sababu miaka yote hiyo hajafanya chochote ni kwa kua anajua kabisa akijaribu ataumia, anabaki kupiga biti tu kueneza propaganda zake kua ana nguvu kumbe wapi.
Nitakwambia jambo moja tu: Kama kweli North Korea ingekuwa haina lolote kijeshi, Kulikuwa hakuna sababu kwa Marekani kuendelea kuwa na askari wake 30,000 kule South Korea...Halafu, kitu kingine ni kuwa hivi unafahamu kuwa North korea na South Korea technically bado ziko vitani???? Vile vita vya miaka ya 50 havikwisha, vilisimama tu kwa muda....Naendelea kuwashauri watu kama nyie someni habari na propaganda za nchi za magharibi kwa umakini, na kwa udadisi zaidi...