story tamu sana....ila kuna kitu kama umekosea...story inaelezea matukio yaliyotokea mwaka 1989 lakini naona kuna matumizi ya simu za mkonon kwa wahusika.
Naomba kujua watu walioanzisha muda (masaa) duniani, na ilikuwaje wakaset masaa. Mfano: Tanzania ikiwa saa 1 basi South Africa iwe saa 2 na kwanini isiwe nchi zote zina muda mmoja sawa? Wenye uelewa hapa nisaidieni.
Kuna mambo wanakikundi ni lazima tuwekane sawa, imeniuma sana na hata jana nilitaka niwapigie wanagroup niwaeleze waangalie hili swala linaweza kukomeshwa vipi. Mimi naamini kundi liliundwa kwa nia nzuri tu ya kusaidiana katika shida na raha na hata kushirikiana kufanya maswala ya kimaendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.