Kweli aisee RFA na Kiss zamani walikuwa moto wa kuotea mbali,sijui clouds sijui takataka gani walikarishwa mno na hizo radio kutoka kanda ya ziwa.
Diallo alikosea mno kubweteka na kutokuwajali wafanyakaz wake .
In those days I miss Lazaro Matalange,Claudia Mayanka,The rocker,joakim...
Dogo unadhalilisha tasisi ya uanaume.
Huo sio upendo hta kidogo umeonyesha udhaifu mkubwa,lkn kuteleza sio kuanguka uufanyie kazi ushauri wa kukupanua mawazo uliopewa na Sarah humu.
Wasalaam wana MMU, huwa nachungulia tu hili jukwaa ila leo nmepata uvuvio wa roho mtakatifu kutiririka yangu machache.
Mosi ni hii tabia yenu mabinti wengi kupenda penda tu hovyo hovyo msipopendwa. Hili suala nmeliona mara kadhaa kwa hawa mabinti zetu kupoteza muda wao mwingi kwa watu wasio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.