mkuu una akili sana, mawazo ya maana atoe uthibitisho tujichange mdg mdghuyu anatakiwa akatiwe bima ya afya ya miaka kadhaa itamsaidia sana
Mkuu Mungu akuzidishie kwa moyo ulionao wa kusaidiaPole sana, mungu akusaidie na kukuponya. Mimi nipo tayari kukuchangia hela ya matibabu na pia kukuombea mchango from my coworkers, kama hutojali kuweka wazi vielelezo vitavyosaidia kuthibitisha ukweli wa hii habari. eg. makaratasi ya huko hospitali ocean road re: the diagnosis and required treatment