Ndyo dada yake Paul.ni dada yake Paul Mzindakaya na davie?
Ndyo dada yake Paul.ni dada yake Paul Mzindakaya na davie?
Rais/mwenyekiti wa ccm aliwaonya wabunge wa ccm wasijaribu kwenda kumjulia hali mbunge mwenzao wa chadema aliyekuwa gerezani!ndiyo utanzania huo? Mheshimiwa Nyalandu ametukanwa matusi mengi tu kwa kwenda kumtembelea Lissu hospitali,hiyo ni sahihi?juzi Mbowe kaenda msibani arusha mkasema ameenda kwa kuwa marehemu alikuwa hawara yake,hiyo sawa? Poa!! Kwa hiyo akifa Wa kwenu tulie wote ila akifa wa kwetu nyie mnachekelea! Huo utanzania munaujua nyie tu! Una wabeba nyie tu?Hii chuki ya Uvyama naona inauwa utamaduni wetu. Hivi tumefikia hatua ya kutoa kebehi kwenye msiba kisa vyama? anyway wenyewe wmeamua hivyo lakini sio ishara nzuri
Alikuwa mgonjwa au ni nini kimemkumba!
Ebanaee Diblo anatisha!! Lakini hamfikii yule mcharaza rythm wa Katitu!unaikumbuka?ewaa sasa pale nyuzi ilikuwa inakungutwa hadi inapata moto!inapoozwa na maji kisha ngoma inaendelea!hatari sana ile!! Ila taratibu mkuu tupo msibani!!Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?
Ebanaee Diblo anatisha!! Lakini hamfikii yule mcharaza rythm wa Katitu!unaikumbuka?ewaa sasa pale nyuzi ilikuwa inakungutwa hadi inapata moto!inapoozwa na maji kisha ngoma inaendelea!hatari sana ile!! Ila taratibu mkuu tupo msibani!!
Hapana Mkuu Mimi naona Dally Kimoko ndiyo balaa kwani akilipiga Gitaa lake unaweza ukalisikia na kulicheza kutoka Uwanja wa Taifa hadi Rukwa, Mnazi Mmoja hadi Sumbawanga na usilichoke kama ambalo Diblo Dibala analipiga japo hata Yeye nae ni mahiri.
Daly Ndala Kimoko ni mkali zaidi (nyimbo nyingi alizocharaza zimenoga)Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?
Rip Sister V,kampe salaam Amina Chifupa.
Sor clouds alikuwa anatangaza kipind ganPumzika kwa amani sister V nikiwa kijana mdogo sauti yako ilipendeza sana masikioni mwangu tangulia kwenye njia ya upendo
Hivi Mkuu eti kati ya hawa wapiga Magitaa ' maarufu ' ya Solo wa Kikongo Diblo Dibala na Dally Kimoko ni nani unaona labda yupo juu na mahiri kuliko mwenzake?