Swala la maji namanga sio tatizo tatizo ni kikundi kidogo tu cha watu wachache wanao fanya huo mradi kuwa wao badala ya mradi wa kijiji (babu wa kale kina kitume na wengine wachache) nishafanya vikao nikiwa hapo mpaka na mkuu wa wilaya pamoja na viongozi wa kenya,ukiwekwa utaratibu mzuri namanga...
Yap nakubali........
ukitaka kujua tabia za mwanamke vizuri usi sex nae kwanza, uki sex nae kwanza ndo ujifanye unataka kujua kuhusu yeye umepotea hakuna utaambulia
Vibua walikuwa imported na hali ime change kupata kibali tu cha kuingiza si chini ya milion 8-10 wafanya biashara saizi wanapeleka kongo na rwanda
ila binafsi nilikuwa siwapendi maana wanakaa kwenye contena wiki 6-7 mpaka washuke bandarini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.