Recent content by mwena

  1. mwena

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Madictators wote duniani wanaanza kimya kimya kwa kuminya vyama na watu wanaomsubua kiongozi. Tutaamini vipi kama sio dictator wakati sifa za udictor anazo! Kimbuka madictators wanatabia yakuwafanya raia wampende kiongozi hata kama hawamkubali
  2. mwena

    Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa

    Kweli duniani kuna mambo! Naona kama picha la kihindi vile
  3. mwena

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha aamua kuachia ofisi na kwenda shule ya Msingi kufundisha

    Ualimu ni taaluma ya watu na iheshimiwe. Si kila mtu anaweza kufundisha ingawa wote wamepita mikononi mwa MWALIMU. Tuache kubeza taaluma muhimu bali tuiheshimu na kuithamini kama taaluma zingine
  4. mwena

    Dalili za Serikali ya Rais Magufuli kuanza kupoteza mwelekeo

    Maamuzi ya kukurupuka yana madhara makubwa. Unawafukuza je watu kazi wakati huna uwezo/ bajeti ya kuajiri mwengine! Hii ni aibu sana kwa taifa na chama chake. Wawarudishe basi na wenye vyeti fake waendee kuzalisha hadi hapo watakaopokua na uwezo wakuajiri wengine. Haya ni mateso kwa waliomakazi...
  5. mwena

    Mwinjilisti: Barua kwa Rais Magufuli, kwanini umejiandaa kumwaga damu za watanzania wasio na hatia?

    Hadithi ndefu lakini henye maana. Wapo wengi waliopendana/wanaoumizwa na utalawa huu. Wakasemee wapi kama wanaowaongoza hawataki kuambiwa? Asante mwinjilisti kwa kuvunja ukimya
  6. mwena

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kutoka Private school kwenda Government school

    Naungana na mawazo yawengine waliosema "haiwezekani". Kwa ushauri tu "hakuna mtu ambaye hana akili" sikushauri ukate tamaa mapema hivi maana huyo mtoto atakusumbua sana mbele ya Safari. Tafuta wataalamu (walimu) unaowaamini, kaa nao waeleze wakupe ushauri. Pia mtafutie mwalimu wa masomo ya...
  7. mwena

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Watoe hata hizo mapema tujue wapo serious. Maana longolongo zimezidi huku idadi ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa vyeo ikiongezeka kila mwaka.
  8. mwena

    Mke malaya, nimfanyaje?

    Hapo ndio uanaume unatakiwa uutumie hapo. Hakuna ushauri juu ya ndoa ya watu wawili waliopendana kwa vigezo wavijuavyo wao. Moja tu la msingi "tumia busara kufanya maamuzi kwenye hilo Jambo nzito lililo mbele yako. Usitumie jazba wala hasira kufanya maamuzi utakayoafiki kuyafanya. Kumbuka Hasira...
  9. mwena

    Bado tuna upungufu wa nafasi mbili za kazi

    Changamkia fursa tuma CV km tangazo linavyoelekeza. Kila la heri
  10. mwena

    Bodi ya mikopo(HESLB) Acheni roho mbaya, mshahara mdogo nao mnautolea macho

    Tulia sindano iingie vizuri! Watoto wa masikini wanasoma bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne.
  11. mwena

    Katibu Mkuu utumishi lini TUTAREKEBISHIWA mishahara tuliofutiwa barua za awali na kupewa za kuanzia Novemba 2017?

    Pambana na hali yako, ukiwazia mshahara ambao haujaongweka tangia 2015 utapoteza mwelekeo. Subiri hayo madaraja mapya yatoke ndio utajua upo Jungine gani
  12. mwena

    Bunge la Tanzania umekuwa muhimili mbovu na usio na tija wala faida kwa Taifa

    Naunga mkono hoja, tupo hapa kwasababu ya Bunge chumia tumbo
  13. mwena

    Anaolewa: All the best kipenz changu

    Pole jamaa, haya mambo yapo wala usiyaweke moyoni maana yanaumiza. Kuitwa mwanaume sio kwasababu unavaa suruali bali ni jinsi unavyoweza kubeba mazito kama hayo ya kuachwa solemba. Ila potazea tu maana wapo wengi utajitwalia kadri utakavyo
Back
Top Bottom