kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Leo nimesoma waraka toka Kwa Katibu Mkuu Utumishi akizungumzia marekebisho ya mishahara Kwa watumishi 25,000 WALIOPANDISHWA MADARAJA.Najiuliza mbona sisi Wa Awamu iliyopita ya watumishi 59,000 TULIOREKEBISHIWA BARUA zetu na kuwa za Novemba 2017 Hatujarekebishiwa mishahara mpaka Leo?Tayari tunaidai Serikali malimbikizo ya mishahara toka Novemba 2017mpaka March 2018.Tunaiomba Serikali iturekebishie mishahara MIPYA.