Mimi gari yangu ina ukubwa wa engine (CC) 2000 na nikitembea mwendo wa kati ya km 80 hadi 120 kwa saa huwa natumia lita 1 kwa km 10 nikienda zaidi ya 120 au chini ya 80 huwa natembea km 7 kwa lita moja. Pia mimi natumia gereji moja kwa matengenezo yote hivo fundi wangu ni mmoja tu na...
Duuuuuhhh, siku zote naililia bahati kama yako na sijawahi kukutana nayo mmmhhhhhh! Naona kale kamsemo ka mwenye nacho huongezewa kanaapply hapa![emoji12] [emoji12]
Sasa haya mambo ya usanii na ulozi sijui kama yatatupeleka popote kwenye karne hii ya Sayansi na Teknolojia. Ni vyema wasanii wetu waangalie kuboresha zaidi kazi zao badala ya kuleta longolongo kuwa nimelogwa oooh, nilikuwa nashindana na mtu. Mie sikubaliani kabisa na kulogwa hata kama huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.