Habari ndugu zangu,
Mimi nataka kuoa lakini kila nikichumbia mwanamke ananiuliza unafanya kazi gani nikimwambia sina kazi,biashara inaishia hapo.
Wakuu naomba ushauri nifanyaje kuhusiana na jambo hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.