Mke mwema nitampata wapi?

Mke mwema nitampata wapi?

mwelelo

Member
Joined
Feb 8, 2015
Posts
27
Reaction score
3
Habari ndugu zangu,

Mimi nataka kuoa lakini kila nikichumbia mwanamke ananiuliza unafanya kazi gani nikimwambia sina kazi,biashara inaishia hapo.

Wakuu naomba ushauri nifanyaje kuhusiana na jambo hili.




 
mwelelo

Asa huna kazi unataka mke utamlisha na kumtunzaje? Bible inasema mwanaume mwema ni Yule anae iweza familly yake..nakushauri jipange kwanza mjini apa hakuna mashamba ya ndizi na viazi nk
 
Last edited by a moderator:
Akiuliza unafanya kazi gani we mwambie wew ni mtoto wa kigogo upo B.O.T pale! unavizia unapiga mimba mengine mbele kwa mbele!
 
Sa kazi huna huyo mke unaemtaka mtakula majani...au ndo mtaenda home muwe wazee kwa k3, kulala kulala kujisaidia?
tafuta kazi
 
alafu wewe
hivi mtaambiana I love you huku matumbo yana nguruma???

hata hilo tunda mtalilia wapi kama huna hela ya kupanga

Murongi wewe unaendesha vipi maisha bila kazi
HAYO MAMBO YA KISWAHILI KUTOKUSEMA UNAFANYA KAZI GANI ILI KUONA UTAMPATA VIP MKE NI UCHURO WA KUIPOTEZA ULIYONAYO
mwambie kila kitu ulichonacho as times goes haswa hayo basic kama kazi yako
alaa huna kazi kkwa maana hiyo unataka nikuleee????
 
Ongea na wazazi wako hususan wa kike, wanawake twajuana.

Usitafute wa kumuoa tafuta ambae mtaoana.

Vigezo:
Kwa mali zao,
Kwa uzuri wao,
Kwa nasaba zao.
Kwa ucha Mungu wao.

Umemshauri vizuri sana, sasa mrudishie FaizaFoxy device yake, aje amkemee kijana awe Mwanaume. I come in peace.
 
Last edited by a moderator:
Habari ndugu zangu mimi nataka kuoa lakini kila nikichumbia mwanamke ananiuliza unafanya kazi gani nikimwambia sina kazi ,biashara inaishia hapo.

ndugu yangu anza na kusudi la mungu unajua ukisoma biblia mwanzo la mungu kumpatia adam mwanamke hawa halikuwa amuoe bali amsaidie awe msaidizi sasa maanayake ipo kazi mungu alimpa adam kwa kuona kwamba anahtaj msaada akampa msaidizi ili kazi iishe kwa wakati kwa hyo baadae ndio adam akamfanya hawa mke

sasa wewetafta mke ambaye atarimiza kusudi la mungu ndani yako kwahyo anza kuomba mungu na usitafte mrefu mfup au mweupe hayo yapo tayar ww mwambie mungu nisaidie mke ambayetutasaudiana kutimiza kusudi lako hapa duniani kinyumw xhake ukichuka tofaut n kusudi la mungu hamta kaa vizur ndani vita itakuwa nyingi maan mtakuwa tofaut sana kimawazo,zingatia hili litakusaidia.
 
Umemtangazia utamuoa kwani kujua civil zako in majukumu yake kukuhuliza ajue ataishi maisha gani akiwa kwako Anna anaependa Shida unaonekana utakikuzungumza ukweli kazi yako wewe waambie nazibua vyoo na chemba za mavi kariakoo nayo ni ajila kama ajira nyingine kama akikukataa ametanguliza maslai ya pesa nasikuishi na wewe kwa zati.
 
mwelelo

Ongea na wazazi wako hususan wa kike, wanawake twajuana.

Usitafute wa kumuoa tafuta ambae mtaoana.

Vigezo:
Kwa mali zao,
Kwa uzuri wao,
Kwa nasaba zao.
Kwa ucha Mungu wao.


We mbibi mara nyingi ninakuonaga kama hamnazo kichwani... Ila walau hapo juu umeongea kama mwanamke mwenye maadili mema
 
Akiuliza unafanya kazi gani we mwambie wew ni mtoto wa kigogo upo B.O.T pale! unavizia unapiga mimba mengine mbele kwa mbele!
hahahahaha unapiga mimba eti hahahahaha watu mnawaza mbali sana
 
Back
Top Bottom