Recent content by Mwavilenga

  1. M

    Nape na madai ya uchagga ndani ya CHADEMA

    Nape hivi umewahi kusikia CDM wakilalamikia kuhusu CCM kuwa chama cha Kisultani? Hawaoni sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa hiyo sio agenda yenye kuleta tija kwa Watanzania........Dogo soma alama za nyakati Nyoka akijivua gamba hawi Mjusi......huyo EL si mlitaka kumtosa akaibukia kwenye uenyekiti...
  2. M

    Nape na madai ya uchagga ndani ya CHADEMA

    Teh teh teh Albedo....... ama kweli wewe unawafahamu CCM vizuri maana hawafanyi jambo bila kuwa wametafiti.......nakubaliana na wewe kuwa sasa CCM wamekosa muelekeo....Kolomba uko wapi uwakumbushe ulichowaambia.
  3. M

    huyu ndiye mhe LEMA JE ANAFAA KUWA KIONGOZI?

    mwacheni Lema aitwe Lema.........huyo ni kiboko cha Chama cha Magamba....eti jambazi si mkamateni basi, nyie magamba acheni propaganda za kizamani hii miaka sio ile tena.
  4. M

    Ridhiwani awapa siku 7 Dr. Slaa na Mtikila kukanusha utajiri wake

    Jamani yawezekana Riz akawa nia mkweli kupitiliza hivyo asihukumiwe kwa makosa ya shangazi yake wala mjomba wake. Hakuna mtu hapa duniani aliye na uwezo wa kuchagua azaliwe na mzazi gani. Hivyo si dhambi kwa kwa Riz kuzaliwa na wazazi alionao. Kama ilivyo desturi kwa wazazi wote hupenda...
  5. M

    huyu ndiye mhe LEMA JE ANAFAA KUWA KIONGOZI?

    Pole ndugu yangu kwa tafakuri ndefuuuu.......Nadhani bado hujamuelewa Mh. Lema vizuri endelea kufuatilia kauli zake na vitendo vyake kisiasa then iko siku utajua kuwa Lema hayuko kihivyo kama umuonavyo sasa. Lema ni kiongozi wa kweli hasa katika mfumo wa utawala wetu uliojengwa ki CCM. Bila...
  6. M

    Visasi vya JK kwa watu wa Arusha? Ahamishia mkutano wa wakuu wa EAC Dar

    Ni dhahiri kuwa kuna siasa za visasi dhidi ya mji wa Arusha kunyang'anya fursa zake kiaina.Lakini kubwa kuliko yote ni hofu ya "mzee wa kaya" kuhusu mwamko wa kisiasa wa wakazi wa Arusha....... labda anadhani wanaweza kumuabisha mbele ya ugeni uliomjia. Lakini atambue hata akifanya kinyongo...
  7. M

    Miaka 50 ya uhuru

    Watasema nini wakati CHADEMA imewashika pabaya? CCM wanashindwa kujenga hoja za mafanikio ya miaka 50 ya UHURU wa nchi yetu sababu ya kile kinachoitwa kuoneana haya.......Hawana jipya bora waendelee kuwa kimya tu.
  8. M

    The Zitto saga: Vyombo vya habari vinaiua CHADEMA?

    Wanajamii tambueni kuwa hizo zaweza kuwa ni propaganda za chama tawala kutaka kudhoofisha nguvu ya umma. Kama ni ukatoliki huko ccm wako wengi tu,kama ni wachaga ccm ndo inao tele tena wa kumwaga hata baraza lao la mawaziri wachaga kibao lakini haisemwi kuwa ni serkali ya wachaga.Sangara endelea...
  9. M

    Nimwonavyo Dr. Slaa (Maoni yangu)

    Hata wakichakachua kura zake lakini mioyo yao inawasuta, umma unatawala wao wataishi kwa hofu wakitegemea nguvu ya dola. wameona jinsi umma ulivyochoshwa na maisha haya, kwa kweli katika miaka 5 ijayo sitoshangaa kuona umma ukiwa mitaani kudai haki zao kwa nguvu,mifano ya Mwanza ,Arusha,Karagwe...
  10. M

    Tanzania's National Electoral Commission is toothless

    Kwa kweli bila kuwa na katiba mpya upinzani kushinda chaguzi za nchi hii itakuwa ndoto. Haiingi akilini kusikia kuwa hata katika majimbo ambayo Chadema imeshinda utasikia kura za uraisi CCM inaongoza. Hii taafsiri yake ni nini? Ina maana hawa jamaa wana teknolojia ya hali ya juu sana na mbinu...
  11. M

    Ephraim Kibonde Jahazi Show

    Kibonde ni kubwa jinga kangi ikujobha isya butungulu........aka na mahala......kipindi chake hakina dira wala maana acheni kukiangalia tukipotezee
  12. M

    GE2010 Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?

    Nadhani ndugu zangu wapenzi wa ccm na hasa polisi wetu kwa kutojua sheria na kuzingatia kanuni na maadili ya kazi zao mara nyingi wamekuwa wakilitukanisha jeshi la polisi kwa umma. Wameshindwa kujua nafasi yao katika mchakato wa siasa. Ndio maana kule maswa polisi ocd anapigwa na kudhalilishwa...
  13. M

    Mke wa Rais ni MJAMZITO?

    Wanajamii badala ya kujadili ujaa uzito wa Mheshimiwa mama ni vema tujaribu kujadli jinsi ya kuwanusuru wale ndege waliokuwa wakiishi maeneo ya Ikulu na mitaa ya jirani na hapo ambao karibu watatoweka katika jiji letu la Dar. Ni ukweli usiopingika kuwa Tausi ndege waliokuwa wakilpamba jiji letu...
  14. M

    Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

    Hata wale wauza chai asubuhi ndio hovyo kabisa kuna kale kajama kalevi kana ganga njaa nako siku hizi kanajua kusema utakasikia kanadandia hoja na kukosoa watu kana kwamba kenyewe kasafi sana. Kuwaita watu Wapuuzi au Mazuzu ni matusi Umeme umekatika nyumbani kwa hawara yake basi itakuwa kelele...
  15. M

    Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

    Ni kweli kabisa huyo jamaa pamoja kuwa tunatoka mkoa mmoja lakini ni dhahiri kuwa amekunya maji ya bendera ya chama cha Waabudiwa. Nina uhakika kwa jinsi ninavyomfahamu Mtendakazi mkuu wa vyombo vya habari Mheshimiwa sana Mpachika kale kajamaa kangekuwa kamepigwa stop kutangaza redioni siku...
Back
Top Bottom