hivi wewe kikwete uoeni hata aibu kuwaibia watanzania mchana kweupe, unataka tuzungumze na wewe kwa lugha ya kikwele ili utuelewe, maana nake sidhani hata kama hiko kikwele unajua kwa kweli. Sasa tunasema hivi tumekuchoka ikulu siyo kijiwe cha familia, majungu, ushirikina na mengineyo ya gizani unayo yafanya wewe, kuliko kuondoka na aibu bora umwage manyanga kwa busara. Na wasiwasi kama miaka mitano utamaliza kwa kuwa utabiri wa mchawi wako mkubwa "shekhe yahya" utatimia.
hahahaha na JK bagamoyo hivi vichekesho!Naam nashkuru umepata kaka,ni wazi SLAA Ahadi zake hazina msingi,mpaka sasa ana mda mrefu katika ubunge,je ameleta Mabadiliko gani Karatu,je ameondoa umaskini au kakuza kiriba tu na 1st lady wa msimo,Tanzania bado haijafikiwa kuongozwa na mhuni
naam nashkuru umepata kaka,ni wazi slaa ahadi zake hazina msingi,mpaka sasa ana mda mrefu katika ubunge,je ameleta mabadiliko gani karatu,je ameondoa umaskini au kakuza kiriba tu na 1st lady wa msimo,tanzania bado haijafikiwa kuongozwa na mhuni
nazidi kupata picha aluu!! Kumbe ndio maanaaaaaaapumbavuuuu........))))))))))))) nenda darasani kasome. Akili zako zimekaa ki-macca macca.
kama alikuwa nazo angezitoa kabla:smile-big:habari za kuaminika ni kwamba majimbo mengi slaa kaongoza ila nec wameripoti data wanazojua wao wenyewe. Mfano dar dr. Slaa alifunika vibaya hadi ikabidi makada wa ccm waombe msaada usalama wa taifa ili zichakachuliwe kwanza kabla ya kutangazwa....
dr.slaa atatoa data baadae leo......
Acheni kujidanganya slaa hana mpango hana mpango.................x1000000000...........
Aah Slaa ni nguvu ya SODA TU! ,hana lolote,kati ya SLAA n LIPUMBA Nani aliyetikisa katika wagombea waupinzani?
Dr. Wetu wa ukweli twasubiri ripoti yako hao NEC ni washenzi kabisahabari za kuaminika ni kwamba majimbo mengi slaa kaongoza ila nec wameripoti data wanazojua wao wenyewe. Mfano dar dr. Slaa alifunika vibaya hadi ikabidi makada wa ccm waombe msaada usalama wa taifa ili zichakachuliwe kwanza kabla ya kutangazwa....
dr.slaa atatoa data baadae leo......