Mm nataka wapangaji walipe mwezi mmoja moja MTU kwenye mshahara anapokea kwa mwezi kodi alipe kwa mwaka si unatengeneza wezi
Sent from my itel it1516 Plus using JamiiForums mobile app
Hawezi wala hata kujaribu unajua kuna TV ngapi na redio ngapi Zimbabwe linganisha na tz unajua kuna NGO ngapi uliza kwa Mgabe unajua kuna vyama vingapi vya siasa kaulize na Zimbabwe Yangu wapate Uhuru wanaamini Mgabe ndio baba Yake so Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.