Msimamo wa CHADEMA waparaganyika

Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
20170614_163445-jpg.523869
Mkuu tafadhali tupatie reference ya hayo aliyetamka huyo ambae Lissu alisema atatushtaki na "kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika".
 
Leo mnasema Lisu anatetea wezi, Lisu alikuwa akitoa ushauri wa kisheria tu. Wakati ule anapambana juu ya hiyo mikataba mlimzomea, eti leo mnajifanya mashujaa, hovyo kabisa ccm.

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa ni ama kasuku, ansoma mabo juu juu akijitia ana akili kumbe he is only half of what he is!!
Mwulize eo MIGA imeishia wapi?
MIGA ni Multilateral Investment Guarantee Agency na ina support Mining Investments.
Lakini MIGA haisupport wizi, kinyume na ambavyo mwanasheria nusu Lissu anavyotaka tuelewe.
 
mkuu wa wezi anaachwa lakini waliotekeleza Amri kutoka juu wanahangaishwa na mahojiano, pasipo mkapa na kikwete kuhojiwa ujue hakuna kitu hapo zitabakia sinema za kuwasahaulisha wananchi juu ya vyeti vya Bashite
Kiukweli mmeshikwa pabaya sana. juzi kati wakati wa makabidhiano ya ripoti ya pili, wenzenu bungeni waliimba wanaimani na hao uliowataja! please, come to your sense!
 
Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.

Povu tupu, povu tena la mate, povu, povu, kweli nyumbu nyumbu tu hata akifugwa na kufundishwa atabaki kuwa nyumbu tu
 
Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
Hujamuongelea lowasa kumbuka nae alipitisha mikataba hiyo akiwa Na haohao ccm vilaza, au kipind kile hakuwa kilaza
 
Rudi darasani wewe!!!! ACCASIA ndio mdudu gani?
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
20170614_163445-jpg.523869
 
Mpaka atakapo ondoka Magufuli madarakani, sidhani kama tutakuwa tumelipwa chochote. Hii ni miujiza inayopatikana tanzania tu.
 
Wewe huwezi kuuona umuhimu na maana ya uwepo wa CDM, ni kwa sababu unawapinga kwa gharama zozote. Lakini zaidi ya nusu ya WaTz wawakubali na wako tayari kuwachagua kama hakuna mizengwe.

Huyo Dr. Slaa alipokuwa CDM mlimpa kila aina ya kashfa mbaya, mmeona ubora wake kwa kuwa aliigeuka CDM
umuhimu wa chadema sikuuona tena baada ya kuwakubali na kuwakumbatia hawa makapi....lowasa na wenzake sio wana mabadiliko wa kweli..ni wasaka tiketi za urais tu....angekua kweli ni mwanaharakati angeondoka kabla hajakatwa tatizo watu wanaichukia sana ccm mpaka wanashindwa kuwaza nje ya boksi...wanaoishabikia chadema kwa ss wanaongozwa na mihemko ya chuki na matukio na sio akili tena.... ndo maaana nasema mzee slaa ni mtu mmoja ana akili sanaa alipoona hawezi kumeza matapishi yake akaondoka....eti leo lisu na lowassa wanakaa kiti kimoja kabisaaaaaaa na kunadi mabadiliko...babadiliko wameshindwa kuleta wakiwa ccm wataweza chadema?....NI AIBU NDUGU YANGU
 
mkuu wizi hauna itikadi. tatizo maccm yamegeuza vita hii ya kisiasa. nimevunjika moyo na kauli ya rais leo kuwatetea majizi jk na mkapa kwa kuzuia wasivuliwe kinga ya kutoshitakiwa. mafisadi ilopasws watafutwe kokote waliko na kuwatokomeza kabisa.
hii kitu hatoacha mtu salama hata waliokimbia ccm na kuja chadema...ila ni wazi katiba inahitaji marekebisho ili watu kama hawa waweze kushughulikiwa vizuri
 
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
20170614_163445-jpg.523869
Sijui kama CCM wote wana fikiria hivi, inatakiwa m focus kwenye kusahihisha makosa yenu ya miaka 20 kuliko kumkoga Lissu.
 
Mleta uzi inaelekea ni mtu wa kijiweni, ungemsikiliza Lowassa mpaka mwisho was alichoongea usinge kurupuka na kusema amepongeza kwa jinsi ulivyoelewa wewe. Lowassa amempongeza Magufuli kwa kukubali madai ya UKAWA kuhusu mikataba mibovu na wizi wa madini. Simama tazama kulia, tazama kushoto na tazama kulia tena anza kuvuka barabara; ukikurupuka utakufa kizembe.
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom