Ahadi ya Makonda kwa BAKWATA Ujenzi wa Makao Makuu

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Nilijiuliza sana, huyu bwana alianza kazi akiwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni 2014, 2016 akawa mkuu wa mkoa DSM.Tukaambiwa ametoa ahadi ya kuwajengea BAKWATA jengo la kisasa makao makuu linalogharimu kiasi cha billion 5. Yaani miaka 3 tu kazini alitoa ahadi ambayo mawaziri wa hawajawahi kutoa, Lowassa alikua akichangia sana makanisani na misikitini lakini hakuwahi kufikia kiasi hicho.


Zilipita siku kadhaa nikasikia GSM ndio wafadhili wa mradi wa Ujenzi wa jengo hilo. Lilikua swali la kujiuliza sana, usawahiba wa huyu Rais wa Dar na Mataijiri hao una nini ndani yake? Tunashangaa nini leo kusikia huyu bwana anamiliki maghorofa na magari ya kifahari? Ni kwanini GSM ambao wamekua akituhumiwa kufanya nao biashara hata kabla ya ahadi hiyo wawe wafadhili wa mradi kupitia ahadi yake?

Uzalendo huu wa Dar mpya na vita dhidi ya madawa ya kulevya juu yake Mungu pekee anaujua.Siku itafika Mh Rais ata-realize aina ya uzalendo wa kijana wake mwaminifu.
 
hawa GSM ndio HOME SHOPPING CENTRE

Hawa ndio DISCOUNT CENTRE

Hawa ndio ALOSCO Group

Hawa ndio EAST AFRICA RETAIL

Hawa ndio GSM STEEL

Hawa ndio wana vituo vya mafuta

Hawa ndio walihusishwa na biashara chafu za familia ya mkuu alopita

Hawa wana husika na biashara nyingi chafu.

Ruge huwezi kumtenga na scandal ya madawa.

Ridhiwani amesemwa Mara nyingi na anaishi Dar es salaam
 
hawa GSM ndio HOME SHOPPING CENTRE

Hawa ndio DISCOUNT CENTRE

Hawa ndio ALOSCO Group

Hawa ndio EAST AFRICA RETAIL

Hawa ndio GSM STEEL

Hawa ndio wana vituo vya mafuta

Hawa ndio walihusishwa na biashara chafu za familia ya mkuu alopita

Hawa wana husika na biashara nyingi chafu.

Ruge huwezi kumtenga na scandal ya madawa.

Ridhiwani amesemwa Mara nyingi na anaishi Dar es salaam
Wametengeneza mtandao kiasi kwamba pesa zao za ufisadi watakula mpaka kizazi cha 10.......

Hawa ndio wanalipwa milioni 200 kati ya 400 za IPTL.....

Halafu mtu anakwambia HAPA Kazi Tu......

Maajabu hayataisha Tanzania........
 
Nilijiuliza sana, huyu bwana alianza kazi akiwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni 2014, 2016 akawa mkuu wa mkoa DSM.Tukaambiwa ametoa ahadi ya kuwajengea BAKWATA jengo la kisasa makao makuu linalogharimu kiasi cha billion 5. Yaani miaka 3 tu kazini alitoa ahadi ambayo mawaziri wa hawajawahi kutoa, Lowassa alikua akichangia sana makanisani na misikitini lakini hakuwahi kufikia kiasi hicho.


Zilipita siku kadhaa nikasikia GSM ndio wafadhili wa mradi wa Ujenzi wa jengo hilo. Lilikua swali la kujiuliza sana, usawahiba wa huyu Rais wa Dar na Mataijiri hao una nini ndani yake? Tunashangaa nini leo kusikia huyu bwana anamiliki maghorofa na magari ya kifahari? Ni kwanini GSM ambao wamekua akituhumiwa kufanya nao biashara hata kabla ya ahadi hiyo wawe wafadhili wa mradi kupitia ahadi yake?

Uzalendo huu wa Dar mpya na vita dhidi ya madawa ya kulevya juu yake Mungu pekee anaujua.Siku itafika Mh Rais ata-realize aina ya uzalendo wa kijana wake mwaminifu.
mkuu, RC hawezi kufanya mahusiano na watu wa jinsi hiyo na kwa namna alivyofanya bila ya kibali kutoka kwa wakubwa wake wa kazi.

hiyo nafasi hataondolewa. badala yake kinaweza kubuniwa cheo kikabatizwa title ya "Chief RC" ili tu awe bosi wa RCs wote. DC alidhalilisha watu, akapewa uRC na kuhanikizwa misifa kede kede... mv Dar es salaam umesikia mwenyewe ilikoishia.

so, tusitegemee intervention yoyote kutoka kwa mabosi wa RC. njia pekee ni kutumia mkondo wa sheria kama alivyofanya Mbowe na vile alivyodhamiria Manji. basi.
 
Mtamtafuta sana makonda hatampata..ukiona mtu anajiamini hivi jua ana uhakika na mambo yake..hana makandokando..mwishowe mtaangukia pua kama mlivyozoea.
 
Wametengeneza mtandao kiasi kwamba pesa zao za ufisadi watakula mpaka kizazi cha 10.......

Hawa ndio wanalipwa milioni 200 kati ya 400 za IPTL.....

Halafu mtu anakwambia HAPA Kazi Tu......

Maajabu hayataisha Tanzania........
Hilo ni moja ya kaburi ambalo ule muhimili uliojikita chini zaidi ya mingine hauwez kujaribu kulifukua hata iweje.
 
Tupo kwenye Vita ya madawa ya kulevya na kinara wa hiyo Vita ni makonda... Hilo lako ni Muhimu ila tukumbushe baadae
 
Makonda hatapata tena ushirikiano wa kuiendeleza dar, jina lake limeshachafuka kwa kasha ya ufisadi na kuvuka mipaka. Ni vizuri magu akamtoa la sivyo watu watahisi yeye ndio amemtuma afanye ufisadi kwa niaba yake.
 
Nilijiuliza sana, huyu bwana alianza kazi akiwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni 2014, 2016 akawa mkuu wa mkoa DSM.Tukaambiwa ametoa ahadi ya kuwajengea BAKWATA jengo la kisasa makao makuu linalogharimu kiasi cha billion 5. Yaani miaka 3 tu kazini alitoa ahadi ambayo mawaziri wa hawajawahi kutoa, Lowassa alikua akichangia sana makanisani na misikitini lakini hakuwahi kufikia kiasi hicho.


Zilipita siku kadhaa nikasikia GSM ndio wafadhili wa mradi wa Ujenzi wa jengo hilo. Lilikua swali la kujiuliza sana, usawahiba wa huyu Rais wa Dar na Mataijiri hao una nini ndani yake? Tunashangaa nini leo kusikia huyu bwana anamiliki maghorofa na magari ya kifahari? Ni kwanini GSM ambao wamekua akituhumiwa kufanya nao biashara hata kabla ya ahadi hiyo wawe wafadhili wa mradi kupitia ahadi yake?

Uzalendo huu wa Dar mpya na vita dhidi ya madawa ya kulevya juu yake Mungu pekee anaujua.Siku itafika Mh Rais ata-realize aina ya uzalendo wa kijana wake mwaminifu.

Team Membei!
 
hawa GSM ndio HOME SHOPPING CENTRE

Hawa ndio DISCOUNT CENTRE

Hawa ndio ALOSCO Group

Hawa ndio EAST AFRICA RETAIL

Hawa ndio GSM STEEL

Hawa ndio wana vituo vya mafuta

Hawa ndio walihusishwa na biashara chafu za familia ya mkuu alopita

Hawa wana husika na biashara nyingi chafu.

Ruge huwezi kumtenga na scandal ya madawa.

Ridhiwani amesemwa Mara nyingi na anaishi Dar es salaam

Umemgeuka Makonda? Acha unafiki.
Umesahau na Silent ocean.
 
Back
Top Bottom