huyu sio mwanachama wa kawaida, ni MWENYEKITI WA MKOA WA BAVICHA, Kimsingi huyu bwana anacheo cha juu kuliko hata LOWASASio rahisi chama chochote kile cha siasa kuweza kumsaidia kila kada akipata matatizo! watasaidia wangapi?! na je hilo liko kwenye kanuni na utaratibu wa chama chao! wanachama ni wengi na kila mtu anashida zake
judging from simu uliyotumia (itel) sitakulaumu